Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mane
Salah
Gnabry
Ukiambiwa umchague mmoja tu asajiliwe Arsenal unamchukua nani.

Hili suala sijaulizwa mimi lakini Mimi namchagua Gnabry mchana kweupe.

Niwe mkweli, ni wachezaji Wawili tu duniani ndiyo nawaweka mbele ya Gnabry.

Ni MESSI na MBAPPE

Ukitoa hao wachezaji wawili basi hakuna mchezaji anayeweza kuwa bora zaidi ya Serge Gnabry.

Naomba jaribu kumfatilia japo mechi 3 tu then unipe mrejesho.

Jamaa anajuwa kuliko unavyodhani! Hakuna cha Hazard wala Neymar anayeweza kusimama mbele ya Gnabry! Hao kina Mane na Salah ndiyo Hamna kitu hasa mbele ya Gnabry.
 
Gnabry ni moto wa kuotea mbali kabisa mzee,kwa kusema kweli hapo umeendeshwa zaidi na ushabiki.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ukweli ni kwamba nimeshtukia kitu hapa kuwa kuna watu wanaangalia Liverpool na EPL tu na hawaangalii Ligi nyengine yeyote ile. Na ndiyomana wanajiaminisha wenyewe kuwa Salah na Mane ni wachezaji bora hakuna zaidi yao.

Nakubali Salah na Mane ni wachezaji wazuri lakini si hivyo watu wanavyojiaminisha.

Usijeshangaa kuwa Mtu ana underestimate uwezo wa Gnabry wakati hata hamjui huyo Gnabry wenyewe.
 
liVARfools 0 Watford 3
😆
kuku nyie mushukuru sana VAR na bado hambebi kombe mbeleko fc
😀😛
 
Ukweli ni kwamba nimeshtukia kitu hapa kuwa kuna watu wanaangalia Liverpool na EPL tu na hawaangalii Ligi nyengine yeyote ile. Na ndiyomana wanajiaminisha wenyewe kuwa Salah na Mane ni wachezaji bora hakuna zaidi yao.

Nakubali Salah na Mane ni wachezaji wazuri lakini si hivyo watu wanavyojiaminisha.

Usijeshangaa kuwa Mtu ana underestimate uwezo wa Gnabry wakati hata hamjui huyo Gnabry wenyewe.
mkuu naona umejitoa mhanga kuongea ukweli!......


hapa kuna watu ukigusa 'front 3 yetu' kwa lolote hawakuelewi! wanaona kama ile ndio roho ya timu haipaswi kuguswa!

eti, huwezi kusajili mchezaji aje kumtoa member wa front 3 yetu! khaaa!
 
mkuu naona umejitoa mhanga kuongea ukweli!......


hapa kuna watu ukigusa 'front 3 yetu' kwa lolote hawakuelewi! wanaona kama ile ndio roho ya timu haipaswi kuguswa!

eti, huwezi kusajili mchezaji aje kumtoa member wa front 3 yetu! khaaa!

Yani maneno haya ninayasikia kwa Washabiki wa Liverpool tu na huwezi kuyasikia kwa washabiki wa Timu nyengine yeyote ile.

Dah! Yani tusisajili wachezaji wazuri ili Front 3 yetu isipate wa kuwasumbua kwenye namba???? Maneno ya mpira kweli haya???????
 
Ukweli ni kwamba nimeshtukia kitu hapa kuwa kuna watu wanaangalia Liverpool na EPL tu na hawaangalii Ligi nyengine yeyote ile. Na ndiyomana wanajiaminisha wenyewe kuwa Salah na Mane ni wachezaji bora hakuna zaidi yao.

Nakubali Salah na Mane ni wachezaji wazuri lakini si hivyo watu wanavyojiaminisha.

Usijeshangaa kuwa Mtu ana underestimate uwezo wa Gnabry wakati hata hamjui huyo Gnabry wenyewe.
Kwa Salah naweza kukubali lakini sio kwa Sadio Mane

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG_7857.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Really poor performance....Fabinho ana play utadhani amesajiliwa January.Nibkama tume lost Energy kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom