Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,464
- 32,909
Come on Klopp bring on Sancho and Timo...Salah Olympic!!!
Salah Afcon!!!
Mane Afcon!!!
Keita Afcon!!!
Only Bobby???
Nahisi dalili za Klopp kuspend next window vinginevyo katika Wiki 6 za Afcon tuombe Senegal na Egypt watolewe mapema sana kama itakavyotolewa Guinea ili Mane na Salah wasikose zaidi ya Michezo 4
Niliona mahala Klopp did bid for attacking midfielder Nigerian Samuel Chukwueze Januari naona Klopp anaridhika na kazi ya hawa Wanyamwezi...Salah Olympic!!!
Salah Afcon!!!
Mane Afcon!!!
Keita Afcon!!!
Only Bobby???
Nahisi dalili za Klopp kuspend next window vinginevyo katika Wiki 6 za Afcon tuombe Senegal na Egypt watolewe mapema sana kama itakavyotolewa Guinea ili Mane na Salah wasikose zaidi ya Michezo 4
possibly watakatwa pia zile za tokea 2012/13 mpk 15/16 nadhan as ndio frame udanganyifu walifanya!Mkuu pointi watakatwa msimu huu 2019-2020 sio msimu mwingine.
YNWA
Hapa shughuli hii Klopp amalizane nae mapema, ukumbuke Bavarians wanamhitaji kwa vile Robert Lewandawski uzee unamnyemelea...
Timo kwanza bei yake sio ya kutisha ni £51m, umri wake pia na ready made for Klopp system..kwanza kila baada ya dakika 120 anafunga goli hii ni bora ya Mane dakika148, Bobby dakika 234 na Salah dakika 143..
Salah anakwenda Olympics Japan hivyo tutamkosa mwanzo wa msimu ujao na Januari 2021 ni AFCON hivyo tutawakosa Mane na Salah..
Kwa hali hio Klopp atoe £100m Kwa Sancho na £51m kwa Timo watue kwa majogoo.
YNWA
Mkuu tazama stat zake kwa umakini utaona kwa Chelsea, Manchester United, Barcelona nk wanamtolea macho na Dortmond wanajua ni special talents ndio maana bei yake inaanzia £100m...Sancho???...... sijui kwanini simwamini sana yule dogo
Hahaha haipo hivyo ndugu...possibly watakatwa pia zile za tokea 2012/13 mpk 15/16 nadhan as ndio frame udanganyifu walifanya!
hata hivyo lile kombe lirudi tu kwa fa, hatulitaki kwa sasa[emoji1787]
Big chances missed to score this season our front three have not been clinical
1. Roberto Firmino has missed 16 chances
2. Sadio Mané has missed 15 chances
3. Mohamed Salah has missed 8 chances
Well we need upgrade upfront.. Could fancy both Sancho and Timo any day of the week.
YNWA
Kuna tofauti ya chance na Big chance hapo Salah hayumo kabisa kwenye Big chance missed ...Mo Salah 8 chances only then kuna watu wanamuona hafai pale Anfield, dah, aisee kweli dunia ina maajabu yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Tayari kikao cha kwanza kilishafanyika, kwa member wa Bingwa mtarajiwa Liverpool anaweza akani PM ili nimpe link ya group la Whatsapp ajiunge ili akapate ufafanuzi zaidi na atoe na mawazo yake. Na hatua tuliyofikia ni nzuri kwa Member wa Liverpool anayetaka kujumuika na sisi kusheherekea Ubingwa wa England baada ya miaka 30 ani PM ili tuungane pamoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unaamin hili jambo n la nia njema tu sion sababu ya wewe MTU akufuate pm weka link hapa haya mambo ya pm wengi yametusababishia maumivu Mkuu kuna usiri gani hapo mkuuu kwa jambo la waz kama hiliTayari kikao cha kwanza kilishafanyika, kwa member wa Bingwa mtarajiwa Liverpool anaweza akani PM ili nimpe link ya group la Whatsapp ajiunge ili akapate ufafanuzi zaidi na atoe na mawazo yake. Na hatua tuliyofikia ni nzuri kwa Member wa Liverpool anayetaka kujumuika na sisi kusheherekea Ubingwa wa England baada ya miaka 30 ani PM ili tuungane pamoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unaamin hili jambo n la nia njema tu sion sababu ya wewe MTU akufuate pm weka link hapa haya mambo ya pm wengi yametusababishia maumivu Mkuu kuna usiri gani hapo mkuuu kwa jambo la waz kama hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tuma link ya group tujiunge, hii ya ku PM number kwangu mimi haipo safe sana coz mimi sio praise team wa Ngosha.
Sent using Jamii Forums mobile app
You don't miss chances without creating them....Big chances missed to score this season our front three have not been clinical
1. Roberto Firmino has missed 16 chances
2. Sadio Mané has missed 15 chances
3. Mohamed Salah has missed 8 chances
Well we need upgrade upfront.. Could fancy both Sancho and Timo any day of the week.
YNWA
Naona mnataka na ushindi wa mezani.Liverpool wanaweza kupewa ubingwa wa epl 2014 Kama chama cha soka uingereza kitaamua kufanya uchunguzi kuhusu udanganyifu wa kifedha uliofanya na Man City. Kipindi kinachotarajiwa kufanyiwa uchunguzi ni kuanzia 2012- 2016. Kama Man City watakutwa na hatia wanaweza kukatwa points hivyo kufanya Liverpool iloshika nafas ya pili 2014 kuwa mabingwa.
Kuna uwezekano tukachukua makombe mawili ya ligi kuu mwaka huu.
Sent using Jamii Forums mobile app