Sio mbaya ila lazima tuangalie na mfuko. Timu bora si uwanjani tu na financial ni lazima tuwe vizuri. Hatuwezi kuwa km Man U kugawa hela kizembembe. Bora tuzitengeneze ili tuwe washindani wa kweli baadae.Ila sisi nao tumezidi ubahili, tuwape mishahara jamaa ili wainjoi maisha huku wanapiga kazi
Sent using Jamii Forums mobile app