It's a team game banaaaaaNi kama UEFA ile mechi ya kwanza, ye ndo alikuwa tatizo pale
Analazimisha kutengeneza clip kwa Jordi Alba badala ya kufyatua tushinde
Mechi ya pili angekuwepo tusingepita walah
Mechi na Everton hakucheza tukampiga Blues za kutosha tu
Sent from my iPhone using JamiiForums
View attachment 1333765
Le Capitane
Best Captain ever to lead modern Liverpool
Hendo for Ballon 2020
😂 Mkuu kwani for the previous four years hakukua Na transfer windows??. Klopp wachezaji wote ambao hakuwaitaji waliondoka the likes of benteke and CoCoz Klopp hakuwa na Mbadala wake, hili pia linahitaji Debate? Haina haja ya kutaja majina lakini wewe mwenyewe kaa ukumbuke Midfielders wote waliokuepo Liverpool miaka 4 iliyopita then utapata Conclusion.
Hata Karius tulimtumia Msimu mzima kwa kukosa mbadala wake.
.. According to me yeah he has been shit and a super bam until Keita and Fabby got heavy knocks and change of formation has done him wonders and now we are witnessing what he should have been doing for the past 9 seasons... We signed him when he was 20 and he had to wait when he is 29 to really hit the roof...Kwa iyo for the past four years according to you hendo has been shit
Did you ever for once ask your self why Jk amemtumia constantly for the four years He's been the manager?
Traore has got pace and energy..he has no skillsHuyo Traore mnayemsifia ana uwezo gani wa kutafuta magoli ya kupatia timu matokeo ya muhimu pale inahitajika zaidi ya kutumia maguvu na kukimbizana uwanjani? Hivi watu wanasahau kwamba hata goli la pili juzi 60% ni kazi kubwa sana aliyoifanya Salah kabla ya kutoa pasi kwa Hendo then kwa Firmino ndo tukafunga goli la pili, so kama ni mgawanyo wa asilimia goli la pili dhidi ya Wolves, Salah 60%, Hendo 5% na Firmino 35% Jumla 100% Nyavu zikatikisika.
Sent using Jamii Forums mobile app
si senor bobby firmino...nyimbo hio ya frimino aliotungiwa na fans...Hiyo 'Si Señor' manayake nini?
😂 Mkuu kwani for the previous four years hakukua Na transfer windows??. Klopp wachezaji wote ambao hakuwaitaji waliondoka the likes of benteke and Co
Ukiniambia hendo alipewa nafasi acheze eti kwa sababu hakua na mbadala wakati transfer windows zilikuwepo
I doubt
I am out guys, mpaka either tuifikie 49 ya Arsenal au siku tutakayofungwa kabla ya hiyo record.
Nitawasamehe wachezaji kama tukifungwa na City game ya 49, otherwise ni fimbo kuanzia kipa mpaka benchi.
yupo vizuri huyu Traore ila nina mashaka kama ataweza kuyafanya kama aliyoyafanya Salah 2016/2017Traore
Umelewa nini Mkuu? Hendo na Ballon usiku au mchana?View attachment 1333765
Le Capitane
Best Captain ever to lead modern Liverpool
Hendo for Ballon 2020
afadhali OX kuliko keitaSasa umeingia katika Sera 2
1) Ya ujengaji Timu
2) Transfer policy za FSG
Tukija kwenye ujengaji Timu, Klopp alitumia Awamu 3.
i. Alianza kujenga attacking kwa zaidi ya Misimu yake 2 ya mwanzo kwa kuwanunua Mane na Salah
ii. Akajenga Defence kwa kuwanunua VVD, Robertson na Kumpandiaha Senior Team TAA na GOMEZ
iii. Akakusudia kujenga Midfield kwa kuwanunua KEITA, OX na FABINHO lakini ujenzi huu haukuwa na mafanikio kwa kiasi kikubwa kutokana na OX na Keita kutokuwa Fit.
Kwahiyo siokwamba Klopp hakuliona hilo la usajili, Aliliona na kulifanyia kazi lakini haikuwa na mafanikio.
Tukiangalia Transfer policy ya FSG
- Hapa ni kwamba FSG wanatoa hela kulingana na Target za Kocha pamoja na Bajeti ya usajili wanayotenga.
Na kumbuka kuwa mwanzo ilikuwa ni vigumu kutoa hela Ndefu kutokana na sera mbovu za usajili kabla ya Klopp.
Timu pekee iliyokuwa inaweza kutusimamisha ni wolvesI am out guys, mpaka either tuifikie 49 ya Arsenal au siku tutakayofungwa kabla ya hiyo record.
Nitawasamehe wachezaji kama tukifungwa na City game ya 49, otherwise ni fimbo kuanzia kipa mpaka benchi.
Aliondoka torres akandoka suarez aliondoka owen. Sijawahi kuwaga na hofu ya mtu yoyote akiondoka liverpo.We need him as much as he needs us, hivi ukiondoa Salah, ni striker gani Liverpool ambaye unaona ni likely kuchukua nafasi yake?
Aliondoka torres akandoka suarez aliondoka owen. Sijawahi kuwaga na hofu ya mtu yoyote akiondoka liverpo.
Labda kidogo now akiondoka Van dyk
Sent using Jamii Forums mobile app
watu wamepitia magumu mpk hawaoni shida kuendelea kuugua[emoji1787][emoji1787][emoji1787]...Hivi hukuona athari za kuondoka hao Watu?
Are you sure?
Owen?
Torres?
Suarez?
Fine! Nimekuolewa sana bro..
Kuona athari na kuwa hofu na athari ni Vitu viwili tofauti
Mimi mwenzako hata kuumia kwa Matip tu kulinipa hofu achiliambali kuhama kwa mchezaji hata Gini.