Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Maisha bila unafki kamwe hayaendi Chifu
Msimu wa 2017/18 Man City alikuwa anashinda games nyingi na alitangulia points nyingi sana, nilikuwa nalalamika kwamba ligi haina mvuto kwa sababu ni One Horse Race.

Sasa msimu huu ni same same, tena inawezekana hata ni zaidi ya kipindi kile. Ila eti naona ligi ina mvuto balaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imeanza UK derby
ni mechi ngumu haijalishi nani ana kikosi kizuri
Tuwashangilie vijana,wanapigana
 
Tundelee kuwa na team yetu,mambo mazuri yanakuja
Mungu awe nasi tuombee tu viana wasiwe na majeruhi
 
Eti Maguire anamkaba VVD kwenye Kona

Maguire atafute wa kusimamanao VVD ni Level nyengine kabisa
 
Tumeisha chukua dimba
Sasa tunahitaji moja zaidi mechi iishe
2=0 hawawezi rudi
 
Tuongelee mechi ijayo
Hii Firimon kaisha imaliza dakika ya 25
Asanteni sana kwa kuja hapa
bye
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom