Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Screenshot_20191229-203917_Chrome.jpg
 
Aisee mane leave this fuvcken club, kwa huu mshahara ni udhalilishaji kabisa daa


Hizi salary wanapanga kwa kuangalia rangi, mane ni black that why anamshahara wa ajabu kulingana na hizo kuku nyingine daa


Sent using Jamii Forums mobile app
hakuna mzee, mane katoka soton anakula chin ya hapo, nahuo ndio ulikuwa mkataba wake wa kwanza na liverpool...hata kama ni wewe usingeweza kumpa mane 200k kwa week wakati ule anatokea soton kwa sasa wakiboresha mkataba wake ndio unaweza mkampa zaidi ya hapo....lkn kwa kipindi kile hata kama ni mm siwez kumpa hio helaa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom