Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Huo ubest unaendelea tu hata akipata matokeo mabaya?
Ile team haikua mbovu hiyu ndo anaitia ubovu tusisifie tu kisa eti anavikombe vishakua zilipendwa hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wakati Klopp anakuja Liverpool alikua na hali gani huko Westphalian alimaliza ligi akiwa Wa 7 lakini haikuzuia kuajiliwa baada ya kazi murwa sana ya Director of Research Wa Liverpool bwana Graham...

Hivyo Muriohno pamoja na mapungufu yake anastahili heshima yake kama alivyosema MmangO hii Timu ameikuta hivyo project yake ndio kwanza inaanza na vipigo atakutana navyo na shinda ni huyo boss wake wa sasa ni mtata...
 
Man, you remember how Manure welcomed to 2-02-0? Ha ha ha haaa, the same will apply to Wilder's boys! We have ignated the engine with supersonic speed!
Hahahahaha ishu the Blades have lost once on the road haha nadhani ilikua vs Citizens...

And damn they gave a fight till the last minutes...

They are fearless and play thier ball..

Very good at counter kama sio VAR Ethad wangechomoka na goli aisee...

Mwisho Wa siku tupo Anfield fortress...

Bring the Blades..

YNWA
 
It's a tough game

Everyone will want to end our unbeaten record

So we must play as warriors
Hahaha everyone wonna make the New Year headlines and we ain't immortal so the Blades will give all thier all they have nothing to lose so they ill be brave enough to bring the game to us...

Good thing is now we are mature the boys know better what count is the points running the pitch all over like American football ain't gonna work.. We play our game excute our game plan and keep positions that what has been winning us games week in week out, any team chosen to play has listened well to the instruction and av been solid and lethal where necessary...

YNWA
 
LIVERPOOL TEAM NEWS

Team to play Sheffield United: Alisson, Alexander-Arnold, Van Dijk, Gomez, Robertson, Keita, Wijnaldum, Henderson, Salah, Firmino, Mane.

Subs: Adrian, Phillips, Milner, Lallana, Elliott, Jones, Origi.
Squad nzima kama tumemmwagia upupu kwa Mzee Wilner! Atajibeba na ole wake atangulie kutufunga kagoli atakiona cha mtema kuni au kilichomtoa Kanga manyoa!
 
IMG_7273.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom