Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
... time will tell!Uefa atabeba Chelsea ..bisha!
Tunza hii
#CFC[emoji170][emoji170][emoji170]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu usifukue makaburi maana hata mimi utanikamata pamoja na ukongwe wangu kuishabikia Liverpool tangu enzi za akina John Barnes! Tulifika mahali mkuu tukawa kama tumekufa, ushabiki ukabaki jina! Uzuri Liverpool ikishaingia damuni hukomi kuishabikia unabaki unaugulia ndani kwa ndani!True Liverpool Fans Will Never Forget The Struggle
View attachment 1307707
When ninapoangalia hii picha nikamuona mchezaji kama Pachecco au Kyrgiakos nanapata pain how far we came from.
Enewey kuna Madogo wanaojifanya Wajuaji ukiwaambia wakutajie wachezaji 5 tu kwenye hiyo picha basi hachomoki, halafu anajifanya kaijua Liverpool kabla Michael Oliver hajawa Referee.
Apo namjua Pepe Reina tu...hii Liverpool ilikuwa na wachezaji wa ajabu ajabu mnooTrue Liverpool Fans Will Never Forget The Struggle
View attachment 1307707
When ninapoangalia hii picha nikamuona mchezaji kama Pachecco au Kyrgiakos nanapata pain how far we came from.
Enewey kuna Madogo wanaojifanya Wajuaji ukiwaambia wakutajie wachezaji 5 tu kwenye hiyo picha basi hachomoki, halafu anajifanya kaijua Liverpool kabla Michael Oliver hajawa Referee.
The 2011/12 was the worst for us. We finished with a total of 52 points in all 38 games.Tujikumbushe wachezaji wetu Wa msimu wa 2009 - 2010 na yaliyojili.
Msimu huo tulimaliza ligi EPL tukiwa nafasi ya 7 na pointi 63.
Ilikua ni mara kwanza kwa zaidi ya miaka 10 kumaliza ligi tukiwa nafasi 'mbaya' vile. Kutokana na hayo na mengineo ilibidi Raphael Benitez aachie ngazi.
Manager
Rafael Benitez
Assistant Manager
Sammy Lee
Captain
Steven Gerrard
Msimu huo ulikua Wa 118 tangu klabu yetu pendwa imeanzishwa.
Liverpool Squad 2009-2010
1. Diego Cavalieri
2. Glen Johnson
4. Alberto Aquilani
5. Daniel Agger
8. Steven Gerrard
9. Fernando Torres
10. Andriy Voronin
11. Albert Riera
12. Fabio Aurelio
15. Yossi Benayoun
16. Sotirios Kyrgiakos
17. Maxi Rodriguez
18. Dirk Kuyt
19. Ryan Babel
20. Javier Mascherano
21. Lucas
22. Emiliano Insua
23. Jamie Carragher
24. David N'Gog
25. Pepe Reina
26. Jay Spearing
27. Philipp Degen
28. Damien Plessis
29. Krisztian Nemeth
30. Charles Itandje
31. Nabil El Zhar
32. Stephen Darby
34. Martin Kelly
35. Ryan Flynn
36. Steven Irwin
37. Martin Skrtel
38. Andrea Dossena
39. Nathan Eccleston
40. David Martin
41. Peter Gulacsi
42. Martin Hansen
50. Dani Pacheco
51. Daniel Ayala
52. Mikel San Jose
Hivi wakuu kati hawa wachezaji Wa 2009 2010 ukiachana na Steve G ni nani mwingine anaweza kujipenyeza kwenye kikosi cha sasa.
ModeratorModeretor hivi ni wivu,au ni chuki binafsi mlizonazo mmegoma kabisa kutuandikia TROPHY yetu ya FIFA CLUB WORLD CUP na UEFA SUPER CUP kweli.
Imewekwa kwa ajili ya liver kivipi? Game vs man u orig anachezewa foul man wanaenda kufunga mbona VAR haikusaidia? Aston villa, Watford mbana kote husemj?Commentator "Joghino was a lucky man today" hatimaye kaishia kuwafunga ...ukumuona yule Gonduzzi sjui Gudunzi ..alicheza faulo ngap lakin alipeta tu ...Sema refa naye ni binadamu ivyo alifanya fair ...lakini ninyi VAR ni kama imewekwa kwa ajili yenu tu..
#CFC[emoji170][emoji170]
Sent using Jamii Forums mobile app
Commentator "Joghino was a lucky man today" hatimaye kaishia kuwafunga ...ukumuona yule Gonduzzi sjui Gudunzi ..alicheza faulo ngap lakin alipeta tu ...Sema refa naye ni binadamu ivyo alifanya fair ...lakini ninyi VAR ni kama imewekwa kwa ajili yenu tu..
#CFC[emoji170][emoji170]
Sent using Jamii Forums mobile app
Imagine ile hali tuliyokua nayo enzi hizo aafu wanakuja sasa na kila aina ya vimaneno...The 2011/12 was the worst for us. We finished with a total of 52 points in all 38 games.
This current seaseon (half way through) we are on 55 points, 3 more than what we managed during the 2011/12 season.
Tumetoka mbali sana acha tujidai bana, wanaosema ni mda wao sisi acha tule bata na sisi ni mda wetu.View attachment 1307739
mkuu, hapa huyo nyuma ya cole nimemsahau.........True Liverpool Fans Will Never Forget The Struggle
View attachment 1307707
When ninapoangalia hii picha nikamuona mchezaji kama Pachecco au Kyrgiakos nanapata pain how far we came from.
Enewey kuna Madogo wanaojifanya Wajuaji ukiwaambia wakutajie wachezaji 5 tu kwenye hiyo picha basi hachomoki, halafu anajifanya kaijua Liverpool kabla Michael Oliver hajawa Referee.
Kipindi hicho Reina alikua na kilo 85 Kwa kweli nilikua nashangaa anakuaje mzito vile aafu ni kipaTrue Liverpool Fans Will Never Forget The Struggle
View attachment 1307707
When ninapoangalia hii picha nikamuona mchezaji kama Pachecco au Kyrgiakos nanapata pain how far we came from.
Enewey kuna Madogo wanaojifanya Wajuaji ukiwaambia wakutajie wachezaji 5 tu kwenye hiyo picha basi hachomoki, halafu anajifanya kaijua Liverpool kabla Michael Oliver hajawa Referee.
Huyo Kipara ni Jonjo Shelvey, Muuulizeb Pep na Fergie wanamjua sanaApo namjua Pepe Reina tu...hii Liverpool ilikuwa na wachezaji wa ajabu ajabu mnoo
#CFC[emoji170][emoji170]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio Pepe Reina????Huyo Kipara ni Jonjo Shelvey, Muuulizeb Pep na Fergie wanamjua sana
Sent using Jamii Forums mobile app
True Liverpool Fans Will Never Forget The Struggle
View attachment 1307707
When ninapoangalia hii picha nikamuona mchezaji kama Pachecco au Kyrgiakos nanapata pain how far we came from.
Enewey kuna Madogo wanaojifanya Wajuaji ukiwaambia wakutajie wachezaji 5 tu kwenye hiyo picha basi hachomoki, halafu anajifanya kaijua Liverpool kabla Michael Oliver hajawa Referee.
Tujikumbushe wachezaji wetu Wa msimu wa 2009 - 2010 na yaliyojili.
Msimu huo tulimaliza ligi EPL tukiwa nafasi ya 7 na pointi 63.
Ilikua ni mara kwanza kwa zaidi ya miaka 10 kumaliza ligi tukiwa nafasi 'mbaya' vile. Kutokana na hayo na mengineo ilibidi Raphael Benitez aachie ngazi.
Manager
Rafael Benitez
Assistant Manager
Sammy Lee
Captain
Steven Gerrard
Msimu huo ulikua Wa 118 tangu klabu yetu pendwa imeanzishwa.
Liverpool Squad 2009-2010
1. Diego Cavalieri
2. Glen Johnson
4. Alberto Aquilani
5. Daniel Agger
8. Steven Gerrard
9. Fernando Torres
10. Andriy Voronin
11. Albert Riera
12. Fabio Aurelio
15. Yossi Benayoun
16. Sotirios Kyrgiakos
17. Maxi Rodriguez
18. Dirk Kuyt
19. Ryan Babel
20. Javier Mascherano
21. Lucas
22. Emiliano Insua
23. Jamie Carragher
24. David N'Gog
25. Pepe Reina
26. Jay Spearing
27. Philipp Degen
28. Damien Plessis
29. Krisztian Nemeth
30. Charles Itandje
31. Nabil El Zhar
32. Stephen Darby
34. Martin Kelly
35. Ryan Flynn
36. Steven Irwin
37. Martin Skrtel
38. Andrea Dossena
39. Nathan Eccleston
40. David Martin
41. Peter Gulacsi
42. Martin Hansen
50. Dani Pacheco
51. Daniel Ayala
52. Mikel San Jose
Hivi wakuu kati hawa wachezaji Wa 2009 2010 ukiachana na Steve G ni nani mwingine anaweza kujipenyeza kwenye kikosi cha sasa.
Jurgen Klopp - "Ox is walking around here without crutches, without a boot, but we have to wait until the medical department gives us the green light"