[emoji123][emoji123][emoji123][emoji123] Please leo tusiharibiane siku ya Furaha! Naomba Mtu yeyote asiniquote post ya Mijadala ya kimabishano.
Nipo na furaha ya kubeba EPL jamani
Mkuu mpaka sasa mbichi haipo ngwe ya kwanza tumemaliza huku tunaongoza pointi 13 zaidi ya washindani wetu wanaotukimbizaliVARpool ,, mbeleko fc, mama nibebe, itakapofika may ndio tutajua mbivu na mbichi...
Sent using Jamii Forums mobile app
Pain killer, Ollachuga Oc, el nino nkNani hafurahii points 55?
Ollachuga Oc yule ni Liverpool tu ni wale waliotukimbia kipindi tumepoteana sasa nyumbani kumenoga...Acheni kubishana na Ollachuga aisee
Team yake inafungwa huko na vitimu vya kitoto
Jana yenyewe wameshinda coz aseno players are dumb as ass
Ndo anakuja humu... Stupid sana ani
Sent using Jamii Forums mobile app
Bangi na tambuu zinawasumbua...
E.P.L umebeba lini? ,licha ya kubebwabewa hovyo na Man city kukandamizwa bado hamuonyeshi threat yeyote ile kwa watu tunaowajua vizuri..
Its a matter of time, mtaanza kuja kutukanana humu, liVARpool ni haina uwezo wa kuwa bingwa wa premier league
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata enzi ya kilele cha mafanikio ya Fergie wapo walioamini baadhi ya marefa walikua wanawapendelea Manchester United na sana sana Webb...Huu msimu lazima muwe mabingwa maana njia nyeupe mumeandaliwa ..
"With VAR everything is possible"
Sent using Jamii Forums mobile app
Keep on dreaming...liVARpool hata wawe na 15 points Gap hawatishi...
Tunajua muda wenu wa kuanza kuangusha maembe mnahitaji kuzingua mechi 6 au 7 tuu kati ya 18 zilizobaki..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hey guys achaneni na hawa watu wanaoongelea ishu ya VAR
Mbona var ikituua wanakua kimya na tena huwa wanashangilia kweli na sio mara moja
Angalia game ya villa, game ya man u na nyingine nmesahau they were quiet and happy
City juzi kapewa goals mara mbili na VAR wapo kimya ani all their blames are to liverpool
Yaani wewe mbongo unajua kuliko watu walioweka sophisticated systems zao za VAR kisa imekuchania mkeka
You guys are stupid ani so stupid and really Rubbishes
VAR imekuja kuleta fairness hakuna tena ujanja wenu wa miaka ile watu wanabebwa na webb
VAR have killed us many times hadi klopp akalalamika kwamba sa hivi no need ya kushangalia sababu huwezi jua VAR watakacho decide
But watu sasa nye nye nye kibao ani
F. Ck you all who you hates liverpool this team gonna kill you
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni woga ndo unawasumbua. Presha itawaua. [emoji1] [emoji1]Hey guys achaneni na hawa watu wanaoongelea ishu ya VAR
Mbona var ikituua wanakua kimya na tena huwa wanashangilia kweli na sio mara moja
Angalia game ya villa, game ya man u na nyingine nmesahau they were quiet and happy
City juzi kapewa goals mara mbili na VAR wapo kimya ani all their blames are to liverpool
Yaani wewe mbongo unajua kuliko watu walioweka sophisticated systems zao za VAR kisa imekuchania mkeka
You guys are stupid ani so stupid and really Rubbishes
VAR imekuja kuleta fairness hakuna tena ujanja wenu wa miaka ile watu wanabebwa na webb
VAR have killed us many times hadi klopp akalalamika kwamba sa hivi no need ya kushangalia sababu huwezi jua VAR watakacho decide
But watu sasa nye nye nye kibao ani
F. Ck you all who you hates liverpool this team gonna kill you
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera mkuu unajua.sana kijifariji! Nina mashaka na brain yako mkuu! Inawezekana ulitungwa mimba wakati wazee wakiwa wamepiga Kayoga!Bangi na tambuu zinawasumbua...
E.P.L umebeba lini? ,licha ya kubebwabewa hovyo na Man city kukandamizwa bado hamuonyeshi threat yeyote ile kwa watu tunaowajua vizuri..
Its a matter of time, mtaanza kuja kutukanana humu, liVARpool ni haina uwezo wa kuwa bingwa wa premier league
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28]I always tell people, we have been on the other end, I remember times when Fergie was winning everytime, we used to condemn Man Utd fans due to favors they were attracting. Sometimes it was true, though most of the times it was because we were poor in form and we couldn't accept it, so we had to find an excuse.
This time around, we are on this good end, all the universe are conspiring to make sure that EPL is secured, new records are set and we become the Team that we were destined to be.
One question any of us should ask oneself is, wouldn't you say the same if you were on their end?
If the answer is yes you would, then let them release their angers, this is Football.
Point tatu muhimu tunazo, record yetu ya unbeaten bado inaendeleaWazee wa VAR mnaendeleaje hapo jijini Liverpool??
[emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28]
Wakae kimya eh wamezidi mkuu
Na sisi hatuwezi kukaa kimya
Sent using Jamii Forums mobile app
Utaahira wao ni pale inapoamua kuinyima goli Liverpool wanavyoshangilia! Jana tu kwenyewe kwenye vibanda umiza wakati tunasubiri majibu ya VAR kuhusu pass ya Lallana walivyokuwa wanapiga mayowe!Nachokwambia ni kwamba wasikukasirishe, maana hata wewe ungekuwa mshabiki wa upande pinzani ungeyasema haya wanayoyasema kwa sasa.
Binafsi nisingeacha kuilalamikia VAR kama ningekuwa mshabiki tofauti na Liverpool, hivyo nawaacha wapate pa kupunguzia hasira zao.
Hili mbona linaelewekaIf you think you're ignorant, just think about people wanaosema they're waiting mwezi wa May kujua mbivu na mbichi.
Hivi Liverpool inasubiri May kubeba EPL??
Just we're waiting end of April kudeclare ubingwa.
Hiyo May only tunasubiri tujue kama unbeaten record tumeifikia tu na wala so ubingwa.
Utaahira wao ni pale inapoamua kuinyima goli Liverpool wanavyoshangilia! Jana tu kwenyewe kwenye vibanda umiza wakati tunasubiri majibu ya VAR kuhusu pass ya Lallana walivyokuwa wanapiga mayowe!
Wakumbuke mkuu na sisi huko waliko tulipitia tena kwa muda mrefu sana! Wavumilie tu "it is out time now to rejoice and be happy" let us enjoy the joy of love to our team and the squad at large (Amoris Laetitia di Liverpool). Manure kiroho kinawaumaaaa!! We are back with supersonic speed to where we used to!Mkuu kwani ungekuwa wewe usingeshangilia?
Timu inapokuwa bora kiasi hiki ch Liverpool, kila mpinzani anatamani kuona ikifungwa au haifungi.
Waelewe tu, wako katika kipindi kigumu.
Hiyo May only tunasubiri tujue kama unbeaten record tumeifikia tu na wala so ubingwa.