Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Salah ndo ana kariba hiyo ya kizani kitokufunga basi ndo umechemka na ndio maana asipofunga anakuwa selfish zaidi but mane hanaga hizo afunge asifunge moto wake utauona...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa ndugu Mane japo hajafunga jana hio haimpi kutokua mchezoni na ku 'flop' kiasi Klopp au sisi tuseme bora awe nje, ukumbuke hawa jamaa wametoka Doha ambapo walipambana na timu zenye mifumo tofauti na mabingwa kutoka mabara tofauti.. Jana tu pale hakika walijitahidi sana wote Kwa pamoja...

Salah nilimsema hakua mchezoni kujua tupo ugenini na tulihitaji kuiua ile game mapema sana ukumbuke Lecister pale kwake msimu huu hawafungiki wako vizuri Sana hivyo nafasi zikipatikana kuwamaliza ilitakiwa vijana wawe clinical and kill the game..

Kazi kuu ya forward ni kufunga hilo haina mjadala ndio wasipofunga tunasema huu upepo sio bla bla nk...

Kwa mfumo wa Klopp ukimuacha Salah wengine wote hua wanashiriki kufuata mpira nyuma na kumtafuta alipo Salah mbele kusudi apige kaunta ndio system ya Klopp ilivyo ukiangalia mpira Kwa makini utaona Firmino ama Mane mara kibao wapo nyuma kutafuta mpira na kuanzisha mashambulizi...

Hii kazi Mane na Firmino hakika wanaitendea haki sana...they are just irreplaceable...

Kwangu I will choose Salah, Mane and Firmino pale mbele any day of the week..

Thier work rate is next to none.. Week in week out they put thier best..

Hii jeuri tuliyonayo ni Kwa sababu ya bidii zao uwanjani...
 
Uwepo wa hao watatu huifanya team pinzani ijisahau maana wanakuwa makini na hao tu hivyo kurahisisha wachezaji wengine ku create other chances

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh umetafsiri moja kwa moja kiswahili kwenda kiingereza, lugha ya watu si mara zote iko hivyo.
Umeelewa?
Ukiwa hauko vizuri ktk lugha hiyo lazima kila sentence ya kizungu uirudishe kwanza kwenye kiswahili ili uelewe. Ndio ulicho fanya.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…