Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Au timu ikishachukua UEFA ndo anatakiwa kushinda Ballon d'or? Kama ndo hivyo vipi akina Verane walioshinda UEFA na world cup Hata top 3 hawakuwepo?
Au mbona usemi mane anaweza mana hata yeye magoli yake yaliisaidia Liverpool kushinda UEFA?
 
Kasaidia timu yake mpaka imechukua uefa. Kama ujalizika sema nikutajie sababu nyingine.
Kwa sababu hiyo nafikiri haitoshi kabisa kumpa maana kina Iniesta,Xavi,Wensley Sjneider,Etoo n.k wangeshapata kupitia hiyo sbb,
 
Au timu ikishachukua UEFA ndo anatakiwa kushinda Ballon d'or? Kama ndo hivyo vipi akina Verane walioshinda UEFA na world cup Hata top 3 hawakuwepo?
Au mbona usemi mane anaweza mana hata yeye magoli yake yaliisaidia Liverpool kushinda UEFA?

Mkuu ukichukua la laliga ndio unastaili upewe hiyo tuzo ha ballon d’or. Na Sio uefa .
 
IMG_6769.JPG
 
Mkuu ukichukua la laliga ndio unastaili upewe hiyo tuzo ha ballon d’or. Na Sio uefa .
Yani mnaoshabikia timu badala ya mpira shida sana.
Alison Beka na vvd nani ana makombe mengi msimu huu?
Maherez na vvd nani ana makombe mengi? Benaldo Silva na vvd nani ana makombe mengi msimu uliyopita? Fabinho na vvd nani alikua na makombe mengi?
Hizi tuzo haziangalii mafanikio ya clabu, zinaangalia individual performance.
Ndo mana Kwenye mashindano ya UEFA kupewa vvd alistahili kuliko Messi kwa sababu vvd alifika fainali na kuchukua ubingwa wa hayo mashindano.
Lakini general individual performance kwa msimu Messi was so far away than VVD.
Tafuta statistics za kila mmoja uzilete hapa
 
Yani mnaoshabikia timu badala ya mpira shida sana.
Alison Beka na vvd nani ana makombe mengi msimu huu?
Maherez na vvd nani ana makombe mengi? Benaldo Silva na vvd nani ana makombe mengi msimu uliyopita? Fabinho na vvd nani alikua na makombe mengi?
Hizi tuzo haziangalii mafanikio ya clabu, zinaangalia individual performance.
Ndo mana Kwenye mashindano ya UEFA kupewa vvd alistahili kuliko Messi kwa sababu vvd alifika fainali na kuchukua ubingwa wa hayo mashindano.
Lakini general individual performance kwa msimu Messi was so far away than VVD.
Tafuta statistics za kila mmoja uzilete hapa
Messi ni mshambuliaji( forward) na VVD Ni mzuiaji( CB).
CB amezuia magoli mengi timu zake( liver na orange) zisifungwe.
CB amezifungia timu zake( nilizozitaja happy juu) kuziwezesha kupata matokeo chanya.
Messi hajawahi kuokoa timu yake( ajifanye beki)
Analysis yangu inamfanya vvd awe mult functional kumzidi Messi( forward Tu)
Hence: Kwa kuwa Messi umri unamtupa mkono na kwa kuwa mshindani wake Mkuu( CR7) naye umri unamkimbia Imeonelewa Messi apate Tuzo ya 6( Balloon d'our) ampiku Christians.
Vvd bado mdogo,anaweza kupata mwakani.
Siasa za mpira hazikwepeki.
 
Yani mnaoshabikia timu badala ya mpira shida sana.
Alison Beka na vvd nani ana makombe mengi msimu huu?
Maherez na vvd nani ana makombe mengi? Benaldo Silva na vvd nani ana makombe mengi msimu uliyopita? Fabinho na vvd nani alikua na makombe mengi?
Hizi tuzo haziangalii mafanikio ya clabu, zinaangalia individual performance.
Ndo mana Kwenye mashindano ya UEFA kupewa vvd alistahili kuliko Messi kwa sababu vvd alifika fainali na kuchukua ubingwa wa hayo mashindano.
Lakini general individual performance kwa msimu Messi was so far away than VVD.
Tafuta statistics za kila mmoja uzilete hapa
Hizi Award zinashiriki Politics sana kama kigezo ni INDIVIDUAL PERFOMANCE Mwaka 2010 Messi alikuwa na Individual Perfomance kumshinda Iniesta au Sneijder, Mwaka 2012 Messi alikuwa na Individual Perfomance kumshinda Xavi,Mwaka 2013 Ronaldo alikuwa na Individual Perfomance kumshinda Ribery,Mwaka 2014 Ronaldo alikuwa na Individual Perfomance kumshinda Manuel Nuer,Mwisho wa siku kinachofanyika ni mapenzi binafsi na mahaba ya wapiga kura kwa mchezaji fulani basi Hivyo video mnavyotuletea leo ni Porojo tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom