Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hahahaha ... Alikua anawapa story za demu wake wa utotoni !

Trent alikua anacheka kinoma ! [emoji1][emoji28]

Hendo ndo alicheka mpaka akalia ! [emoji1]
 
Vs Leicester

Front three iwe ivi


Mane. Firmino. Shaqiri


huyu salah tunamlea sana ni bora akae benchi huenda akajirekebisha
Sidhani kama aweza pata namba huyu kwenye kikosi cha kwanza cha juve, Bayern,Barcelona,hata arsenal pia

Watu wengine bhana! Mtu ana 7 goals and 3 assists halafu aekwe benchi achezeshwe mchezaji aliyekuwa hana Uwezo wa kuichezea hata Simba SC.....

By the way Shaqiri ni injured
 
Mkuu nilikushauri zamani uache Bange lakini umekuwa mbishi...

Sasa Alison hiyo Clean sheet aipate kwenye Wodi ya Wagonjwa au?

Hata hivyo mpaka kufikia anaumia kwenye game dhidi ya Norwich alikuwa ana Clean sheet ya dakika alizocheza.
Allison akipata cleansheet msimu huu azitafika tano..ubao unasoma Kepa ana cleansheet moja Allison ZERO.

Acha niendelee kuvuta bangi zangu tu..

Kila la kheri Chelsea[emoji170][emoji170][emoji170]
 
Mtazamo...Kama anafikiria hivyo sawa labda anatudanganya kweli...
Sorry unasema mzigo ukiwekwa hapatikaniki mchezaji wa maana zaidi ya rabiot...au nimeelewa vibaya mkuu
Wachezaji ambao weshakimaa kuwapata kwake ni mbinde
 
Allison akipata cleansheet msimu huu azitafika tano..ubao unasoma Kepa ana cleansheet moja Allison ZERO.

Acha niendelee kuvuta bangi zangu tu..

Kila la kheri Chelsea[emoji170][emoji170][emoji170]

Sasa Mkuu Kepa aliyecheza michezo 9 (7 EPL na 2 UCL) akaibuka na Clean sheet 1 unamlinganisha na Alison ambaye hajacheza mchezo hata mmoja?

Nakushauri acha Bange haikufai
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…