Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,591
Wanatakiwa watu prove leoHichi kikosi kinastahili kuanza kwa Game ya leo
Hata tukitolewa mbona powa tu! EPL ndiyo everything
Liverpool: Kelleher, Hoever, Lovren, Gomez, Milner, Keita, Oxlade-Chamberlain, Lallana, Jones, Elliott, Brewster.
Subs: Lonergan, Lewis, Kane, Chirivella, Van den Berg, Longstaff, Clarkson.
Hichi kikosi kinastahili kuanza kwa Game ya leo
Hata tukitolewa mbona powa tu! EPL ndiyo everything
Liverpool: Kelleher, Hoever, Lovren, Gomez, Milner, Keita, Oxlade-Chamberlain, Lallana, Jones, Elliott, Brewster.
Subs: Lonergan, Lewis, Kane, Chirivella, Van den Berg, Longstaff, Clarkson.
Hiyo ya kulift EPL May ???????!!!!!!! Gap point 5 by now with just over 30 games in handJuzi wakati naangalia tuzo za Fifa, nilifurahi sana Klopp na Allison kupata tuzo. I could have been so happy kama VVD angefunga hesabu but it was all good.
And then nikajifanyia tafakuri kwa ku-base mafanikio anayoyapata Liverpool FC, niko so so proud this time around kuvaa jezi ya Liverpool popote pale, nina jezi za rangi 4 na ninazivaa anytime anywhere bossing like there is only me and my Liverpool FC in this world.
Now, as a Liverpool fan, I want to find a way in which my achievements progress in the Liverpool's way. Change the way of thinking, acting and making targets that need a bit of stretching.
If Allison, Klopp and Liverpool have made it to the top, why can't I go to the top?
So Kops, let's put challenges to ourselves, let's believe that it is possible to be the best at anything that we are doing. Kama uko mahali wanapotoa zawadi kwa mfanyakazi bora, kwa nini usiwe? Kama unafanya biashara, kwa nini biashara isikuwe? Let's use this happy moments we getting from our beloved team to motivate and inspire ourselves. If you made a plan to get 2, fight for 3, and if 3 was a plan fight for 1+ more.
By May when Liverpool will be lifting an EPL cup, we will be lifting ours as well.
Best of lack guys, let's strive for greatness.
All the best to those who will join course
Hiyo ya kulift EPL May ???????!!!!!!! Gap point 5 by now with just over 30 games in hand
Too far from such dispositions
I am personally into "It is possible mood". So it is either both (Me and Liverpool) or one of us to make it to the top.
I believe.
Milner mzee wa kazi kashapiga moja
Klopp is the best coach on the planet, remember?I like Klopp
Carabao kawapa nafasi vijana
Pep hata Carabao wanacheza wakona Sterling!!
The boy has got alot of pace!! yuko vizuriHelliot mpira upo,
Kikosi kizuri tunashinda mapema sana, maana hapo kila mchezaji kuonyesha ukali wake aanze kupata namba kikosi mama
Lallana on his jorginho's role.. This guy can't even deliver a long pass