Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Kwa TAA nakubaliana na wewe 100%, jana Matip alisimama pembeni wakati TAA anazungushwa, nadhani Gomez huwa ni mzuri kwenye kum-cover TAA zaidi.
Kuhusu blunder ya Adrian, mimi ninai-excuse kwa kigezo cha kwamba "We make mistakes to learn", since that mistake, VVD kaacha kurudisha mipira nyuma, hata kwa Allison tuliandika mapema kabla ya kosa kwamba mpaka atakapofungisha ndipo akili itakaa sawa.
Tatizo langu kubwa Zaidi ni repetitive mistakes, mfano Salah anachelewa ku-release mpira inapelekea kupoteza nafasi nyingi, na hii problem haiwi addressed.
Team rotation, hii nadhani itakuwa poa kama League Cup na FA tutasurvive, inasaidia wachezaji kuwa tayari tayari pale wanapohitajika.
Team Rotation mwisho iwe kwenye FA na Carabao lakini sio EPL
Kumbuka Jana alipokaa Nje Bobby tu basi kilichokuwa kinachezwa kilikuwa hakieleweki!
Same akikaa nje mmoja Kati ya Mane au Salah (Don't tell me Salah was out and defeated Barca) lazima tutapata shida.
Mane, Salah na Bobby hawa wote watatu ni lazima waanze kila mchezo wa EPL regardless mashindano mengine
Bobby bila ya Salah na Mane will be nothing coz chance zake anazocreate will be lost in vain
Mane bila ya Bobby na Salah will be nothing too coz no one will create for him
And the same kwa Salah without Mane and Bobby
No chances for Origi and Xhaqiri to start kwenye game yoyote ya EPL according to mahitani yetu ya hii Ndoo
Better for them kuingia as a sub.
[emoji16][emoji16]We don't have problem with UEFA, we need EPL!
Hahaha ndo umempeleka huko kabisa ..Adrian anaimprove kwa kasi sana atatusaidia sana kwenye fa na carabao
Hapo sasa beki wetu nikadhani macho yangu kuna ukabaji flani wanakuwa kama hawana papara which is good lakini sasa..mfano mchezaji pinzani anaweza akawa anakuja na mpira kutafuta chance ya kupiga anaweza akazengewa zengewa ila kuna situation inatokea mchezaji akibahatika kupiga unakuta beki inamuacha kwa kuamini nafasi aliyokaa haitamsumbua kipa kuokoa jahazi(nadhani wanaogopa deflection )..sasa kwa Adrian jamani daah...bado ngoja tuone Napoli .Nakubaliana na hilo, mkuu Karius alikuwa danger sana hata mechi tulizokuwa tunashinda.
Adrian hajawa tested kwenye pressure, ila mpaka sasa kazi aliyoifanya ni ya pongee sana, mimi binafsi magoli aliyofungwa sijaona default kubwa, ukiacha ile blunder ambayo hata Allison aliifanya (ile ni learning process kwangu).
Kwa hiyo sina wasiwasi kabisa Adrian akiwa golini, wasiwasi wangu ni ukabaji wa TAA tu na jinsi ambavyo beki yetu inajiamini kuwaacha wapinzani wasogee sogee golini.
Hii Liverpool hii ni ya kuiwaza??Mpo nayo wiki ijayo kumbe? Aisee ngoja niandae bando la 10GB , jukwaa la Chelsea wajiandae ,
Yani apo December tutakuwa tumepishana kama sio point mbili bas ni moja au tutakuwa sawa kabisa..Ila we jamaa bhana [emoji28]
Kweli kaka mazoezi muhimu sana...Nna mazoezi makali balaa
Hahahahaha jiandae apo next week ..Kila la kheri Chelsea
Ndo ivo kiongozi ..hutoaminiMkuu acha kuvuta sigara ukiwa umejificha
Ongeza volume wasikie vizuri..Hiyo game ni Ngumu sana bro
Ila we jamaa bhanaHii Liverpool hii ni ya kuiwaza??
Kila la kheri Chelsea[emoji170][emoji170][emoji170]
Unajidai umesahau kilichowakuta mechi ya mwisho hapo anfieldOngeza volume wasikie vizuri..
Kila la kheri Chelsea[emoji170][emoji170][emoji170]
moyo wangu unakubaliana nawe by 101%.Dah! Ni kweli
One Laporte amemake difference kwa Man City but I beg to differ!
Laporte amezungukwa na
ZINCHENKO - OTAMENDI - JONES - WALKER
Ambao wote hao ni Shit players kwani Walker sikuhizi kawa uchochoro na Zinchenko bado anajifunza (inexperienced)..
Otamendi na Jones ni Lovren waliochangamka tu.
But ukija kwenye Defence yetu utakutia kuna
ROBBO-VVD-MATIP-TAA
So, kwa kuumia VVD pekee kama sio injury ya Muda mrefu basi hatutostruggle sana kwa VVD amezungukwa na Best Defenders unlike Man City.
Gomez na Matip wanaweza kucover vizuri tu.
Problem ni pale watakapoumia more than one Defender..
Kwahiyo Man City since last season akikosekana Laporte tu basi hata wacheze na Namungo FC watafungwa! Hii inaonesha wana very weak defence line inayomtegemea mtu mmoja.
Upo sahihi king, nimeona mahali January wanaweza kurud sokon kutafuta CB, ni dhahiri beki ya city Inabebwa na LaporteDah! Ni kweli
One Laporte amemake difference kwa Man City but I beg to differ!
Laporte amezungukwa na
ZINCHENKO - OTAMENDI - JONES - WALKER
Ambao wote hao ni Shit players kwani Walker sikuhizi kawa uchochoro na Zinchenko bado anajifunza (inexperienced)..
Otamendi na Jones ni Lovren waliochangamka tu.
But ukija kwenye Defence yetu utakutia kuna
ROBBO-VVD-MATIP-TAA
So, kwa kuumia VVD pekee kama sio injury ya Muda mrefu basi hatutostruggle sana kwa VVD amezungukwa na Best Defenders unlike Man City.
Gomez na Matip wanaweza kucover vizuri tu.
Problem ni pale watakapoumia more than one Defender..
Kwahiyo Man City since last season akikosekana Laporte tu basi hata wacheze na Namungo FC watafungwa! Hii inaonesha wana very weak defence line inayomtegemea mtu mmoja.
Nitapiga ramli kuhakikisha mnayapiga ,maana mtayapeleka nafasi za 10-15Najua Next weekend Chelsea yatataka kutuharibia Party letu
moyo wangu unakubaliana nawe by 101%.
but brain yangu inagoma aisee.....
Nitapiga ramli kuhakikisha mnayapiga ,maana mtayapeleka nafasi za 10-15
good move the earlier the better...The African Prince About To Be Awarded The New Deal
Liverpool have opened talks with Sadio Mané to improve his current contract, @SoccerLink_ report. Current deal runs until 2023.
Relax kaka Best Defender Lovren kabakishwa kwa kazi hio banaaaaaa..this is exactly what will happen to us the day our VVD (touch wood) goes missing from the lineup.
God forbid!