Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Kwa injuries hizi za kila siku! Karibu nita declare kuwa kwa Keita tumepigwa
Mimi ni mwana Liverpool kama wewe. Naples wako vizuri sana. Msimu uliopota kundi letu lilikua gumu. Kama utakumbuka Naples walitusumbua sana.
Ni rahis Newcastle kuizuia Liverpool au kupata droo , kuliko Chelsea hii ya sasa .Newcastle - W
Napoli - D
Chelsea - D
MK Dons - W
Sheffield - W
• 7 points EPL
• 4 points UCL
Only my view
haha Hardest job inamfaa sana VVD he just make everything look very easy.....Yan muogope sana mtu mwenye uwezo binafsi-kipaji alafu anatumia miguu yote miwili...japo ni kiungo lakini anauwezo wa kufunga Sana siku izi gari limewaka...nasubiri siku akipigwa 9 ya uongo kama boby...
Lallana hawezi kuingia kwa mfumo sahivi ...Hendo ana umuhimu wake yule ni wa kufuata maelekezo uzuri yuko sharp na pasi za movement pale kati hana mambo mengi ..ana back up nzuri..fabinho/keita/gini/chambo acha zali liendelee kumtembelea ...maana bila kupambana zaidi asingeweza pata zali leo..View attachment 1206073
HahahhahaaaaaaaaaaaNa Huku Nyumbani kwenye huu uzi kuna baadhi ya Mashabiki wenzetu wanatuambia Henderson ni bonge la Mchezaji akiwa hana Mpira!
Nadhani kuna umuhimu wa Timu zetu kuajiri Makocha ambao watakuwa ni Specialist off Ball Coach ili kuscout na kusajili Wazururaji tu ambao watawatrain kutokugusa Mpira kwa dakika zote 90 ili wawe wanazurura tu.
hahaha Aroon una utani na Chugga si bureNi rahis Newcastle kuizuia Liverpool au kupata droo , kuliko Chelsea hii ya sasa .
hata Chelsea ni win hopefuly hatutapata shinda na hii break iliyotokea maana kuna wakati hua inazingua....Newcastle - W
Napoli - D
Chelsea - D
MK Dons - W
Sheffield - W
• 7 points EPL
• 4 points UCL
Only my view
Keita abakie kwenye rehab hatuna haraka ya kumuona aafu ghafla mechi mbili aumie tena...Klopp on Alisson and Keita:
[emoji860]On Alisson: "Ali looks good & is improving, but we can't put pressure on him. The target was after the next international break, but we don't know.”
[emoji860]On Keita: “Naby is close. I think he could be in training when we come back from Napoli."View attachment 1206470
Hapana mm kwa tathmin yangu , naona hivo ....hahaha Aroon una utani na Chugga si bure
sure comrade...kwa sasa Chelsea sioni wakiambulia hata pointi moja kwetu labda siku hio umuone Lallana uwanjani...Hapana mm kwa tathmin yangu , naona hivo ....
Kweli mi naona VVD kawabadilisha backline yote ya liver sahiv hawana papara kukaba /kumkumba striker akiwa na mpira (utasema anawapa uhuru vile kumbe la)...wanasemaga Kuna wachezaji wakiwa na mpira unauona ni mchezo rahisi...Sasa VVD akikaba na kuzuia utasema kirahisi vile Kama 'kifaza' flan...sikushangaa Kampany kumkubali zaidi ya wote waliokipiga EPL maana wengine nirafu tu hawakuwa smart ...kweli ila skipper Hendo yupo na watu Bora sasa ana bidii muache ale maisha..English player.haha Hardest job inamfaa sana VVD he just make everything look very easy.....
Mkuu kuhusu hili la Hendo sidhani kama atakuja kubadilika mi hua namuona ni mwenye bahati zaidi ya wote pale klabuni....
nabaki kusema ni Klopp tu mwenye jibu sahihi inakua aje huyu Hendo awe juu ya Gini, Faby, Ox, Keita, Millie,Shaqir hua sielewi kabisaa ni lipi alionalo Klopp na sisi wengine hatuoni...
Jamaa alisha komplain kua hana mahusiano mazuri na baadhi ya ndugu zake huku afrika na wanamroga, i dont want make you to believe it or not lakini alishasema kua anarogwa na na baadhi ya ndugu zake baada ya kusajiliwa liverpoolKwa injuries hizi za kila siku! Karibu nita declare kuwa kwa Keita tumepigwa
Yupo kwenye kliniki moja matata sanaKeita abakie kwenye rehab hatuna haraka ya kumuona aafu ghafla mechi mbili aumie tena...
ni bora watulie nae mpaka awe fit kuliko hii cure and rush haimbariki kamwe...
ni sahihi Hendo ni typical English player ale tu maisha kwa kweli...he is our Captain hatuna namna tutake tusitake the gaffer always stand by him hata akiboronga yumo tu...Kweli mi naona VVD kawabadilisha backline yote ya liver sahiv hawana papara kukaba /kumkumba striker akiwa na mpira (utasema anawapa uhuru vile kumbe la)...wanasemaga Kuna wachezaji wakiwa na mpira unauona ni mchezo rahisi...Sasa VVD akikaba na kuzuia utasema kirahisi vile Kama 'kifaza' flan...sikushangaa Kampany kumkubali zaidi ya wote waliokipiga EPL maana wengine nirafu tu hawakuwa smart ...kweli ila skipper Hendo yupo na watu Bora sasa ana bidii muache ale maisha..English player.
atulie huko huko aje Januari tu binafsi nimechoka na wanavyomuaisha uwanjani aafu ghafla unasikia mechi nne zijazo hayupo....Yupo kwenye kliniki moja matata sana