Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kumbuka bizuri
 
Pale EPL structure ya Manciti tangu aje Pep wana pay structure poa kabisa...kulipa kutokana na mchango wa kuiletea timu mafanikio, attitude nk, wale jamaa ni wavumilivu na wanajua kubebeleza si kawaida aliwai kutingisha Sterling na kambi yake kudai alipwe zaidi ya wengine nk alitulizwa kimya kimya hatimae akasaini..sasa akaja Sane Leroy huyu wakampa extention akagoma kusaini akiforce akwede Bayern wakasema ofa ije ya kusisimua watamwachia hatimae akaumia na Bavarians wakawa bado hawaweza kumpata...kama umecheki hivi karibini pia academy yao inazalisha wachezaji lkama akina Sancho, Duncan lakini kutokana na structure yao perfomance based basi wanakua ni ngumu kutoboa team A...unakumbuka pia ishu ya Toure..

Pale Spurs bwana Levy bana hua anawaambia walete makombe kwanza ndio waongeze salary na mengineo kitu ambacho ni sahihi ila sio kwa nyakati hizi, Spurs wamekua na consistent ya kucheza Uefa na kifedha wanafanya vyema hivyo hawa akina Rose,Eriksen n.k kulalamika ni haki yao kwni pia umri kwao unakwenda...

hili la Lovren tungehesabu hasara na faida zetu akakipige huko Roma tu....
 
Baelezeage baelewe.
 
Mkuu umetisha. Unanipa hamasa flani iv.
 
Pale Emre Can aliposema anataka Kujiunga Timu Kubwa - Juventus

Sasa ajiandae kurudi Augsburg au Frankfurt Manake hakuna Timu kubwa inayomjua tena kama anaexist
Emre Can:

"I am shocked and angry. Last week, the club promised me something else, yesterday the coach called me and told me in less than a minute that I was not in the Champion league squad. I can not explain it, I have not been given any reason."
 
Mwacheni Hendo apumue.
Ina maana hawa makocha wote waliompanga nao ni vilaza
1.King kenny
2.rodgers
3.Kloop
4.Southgate
Yaani wewe shabiki ndo ujue kila kitu kuliko hawa wanne. Kila mchezaji ana faida zake na hasara zake pia.
 
Emre Can:

"I am shocked and angry. Last week, the club promised me something else, yesterday the coach called me and told me in less than a minute that I was not in the Champion league squad. I can not explain it, I have not been given any reason."
Huyu muache ale ujinga wake. Alishapewa dimba pale kati akajiona Cake. Now tuna Fabinho akalale mbele arudi leverkusen tu hakuna namna
 
Mwacheni Hendo apumue.
Ina maana hawa makocha wote waliompanga nao ni vilaza
1.King kenny
2.rodgers
3.Kloop
4.Southgate
Yaani wewe shabiki ndo ujue kila kitu kuliko hawa wanne. Kila mchezaji ana faida zake na hasara zake pia.

√ Nani aliyekwambia kumpanga mchezaji bovu uwanjani ni kuwa kocha kilaza?

√ Nani aliyekwambia kila mchezaji anayepangwa uwanjani ni mzuri?

√ Kwanini Lovren alikuwa Akichezeshwa Kila game na Klopp, Lakini sasahivi hachezeshwi game hata moja na Klopp huyuhuyu?

√ Hivi unaweza kunipa sababu kwanini Klopp huyuhuyu alipokuwa akimng'ang'ania kumpanga Lovren kila game sisi tulikuwa tukimkosoa Munasema Klopp anajua Kuliko sisi, Lakini Klopp huyuhuyu kaamua kumueka Benchi Lovren hatimae hamusemi Klopp hajui tena kwasababu hamchezeshi Lovren? Au Klopp anajua anapomchezesha mchezaji kwa lazima tu, Lakini asipomchezesha kujua na kutojua kwake hakuwahusu?

√ Unajuwa kuwa Tokea aondoke Alonso na Mascherano Liverpool haijawahi tena kupata Midfield zinazotambulika?

JUA HAYA:

1) Situation ya Lovren ni Sawa na ya Henderson:
- Hao Makocha wote uliowataja (Sir Keny, Rodgers, Klopp na Southgate) hawamchezeshi Hendo kwa kuwa anajua au kwasababu ya kuwa wao wanajua zaidi! Bali wanamchezesha Hendo kwasababu hawakuwa na Hawana wachezaji wa Maana katika Vikosi vyao kwenye eneo la Midfield.

* Keny, Rodgers walikuwa na vikosi kibovu ndiyomana Hendo akacheza
* Klopp Mido zake ni Gini, Milner, Fabi, Nabi, Lallana na OX, hapo anayecheza ni Gini na Fabi, Nabi na Ox ni sawa na Wahudumu wa Afya Wodini, Lallana na Milner hamna kitu! Sasa Hendo ataachaje kucheza hapo? Je nibkwasababu Mkali au kwasababu hatuna Mido ya maana?

Ni sawa na Lovren wakati anapangwa kila game Watu walidai Klopp anajua zaidi, Asinhelimpanga isipokuwa Lovren ni Beki Mzuri! Kumbe alikuwa Akipangwa kwasababu Klopp alikuwa hana Beki mwengine wa maana.
Alipoibuka Gomez tu, Matip kupona majeruhi na kuja kwa VVD yupowapi Lovren now?
Ule ubeki bora wake umeendea wapi?
Ile Klopp kumpanga kwasababu anajua zaidi imeishia wapi?

2) Kuondoka kwa Alonso na Mascherano:

Tokea waondoke hao jamaa Liverpool haijawahi kupata tena Midfield ya Calibre ya hao jamaa! Ndiyomana Hendo katawala kwasababu wote waliopo (Ukitoa Keita & Ox majeruhi) ni wabovu angalau yeye ana afadhali.

Kwahiyo Klopp kumchezesha Hendo sio Kilaza, Bali tunamlaumu kwanini hasajili upgrade ya Hendo!
Na wala Hendo kuchezeshwa sio sababu kuwa yeye ni Bora, bali ni kwamba Liverpool haina kiungo wa maana.

Hendo ni Kiungo mshambuliaji mbele ya Gini na Fabinho Lakini je Mpaka mwisho wa msimu hafikishi hata goli 5 na assists 5 sasa anafaida gani kwenye Timu?
 
mwache Klopp aitwe Klopp aisee.

huyu dogo alipokuwa Anfield akam-beep Klopp, mara akakuta the gaffer anapokea. kaenda Juve na nyodo kibao but look at him now.. poor him!


 
mwache Klopp aitwe Klopp aisee.

huyu dogo alipokuwa Anfield akam-beep Klopp, mara akakuta the gaffer anapokea. kaenda Juve na nyodo kibao but look at him now.. poor him!

View attachment 1197760
View attachment 1197761

Yani nikiyasoma maneno ya Emre Can haya ↓↓ Kwakweli inatia huruma!

"It was very shocking for me because last week I was told and promised something else," Can told the press on Wednesday. "Yesterday I got a call from the coach, in which he told me in less than a minute and without explanation that I was not in the squad. I can not explain it, nobody has given me a reason until now."

Alikataa Mkataba kwa kutaka Kujiunga na Timu Kubwa! Hatimae Wakubwa wanaenda Kupambana Ulaya CL yeye anabakishwa Nyumbani akune Nazi na kuangalia Watoto.

Sasa Kina GINI waache wapambane Ulaya huku yeye akiishia kuyaangalia Mashindano kwenye TV tu.
 
look into the article below which says it all about what makes Klopp's LFC dominant at the highest level not - only in England but also in Europe.


it's not about flair, it's not about flamboyance, it's not about sexy football - it's all about pace, energy and high-octane.

the players that we (the rest of Liverpudlians) deem as shit - especially those workaholics in the centre of the park - to Herr Klopp they are some piece of jewel.

Klopp has devised a certain unique playing system into which he always makes sure the right personnel are deployed.
so, he plugs round holes with the "round pegs" like those midfield workaholics - not "square pegs" like Coutinho/Can/etc or even Fekir whose failure to join us is rumoured to have clandestinely been engineered by Herr himself according to the grapevine outlets in France!

as long as there is eventual substance to whatever Klopp is doing, am going to trust him 101%. I almost believe in him now like I (kijeba miye!) used to with the likes of Sir Ken those old glory days.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…