Usijipe matumaini ambayo ni mazigazi kijanaWe ni timu gani hebu tuanzie hapo kwanza !
well said TAGGED...until Grujic is available next season huyu Hendo bado tunae sana tu...When it comes kwenye issue ya off the ball movement Hendo is very shit. Off the ball movement ni most important in the pitch than when yo in a football possession.
This is what creates spaces for others by forcing yo opponent either waingie ndani hence leaving wide area pembeni au watoke pembeni na kuacha free spaces katikati.
Play a big role kwenye wepesi wa kuingia into spaces created by yo team mate. Seen in more than one occasion Hendo akisimama behind the opponent player na kuwafanya wenzake washindwe ku mpasia mpira.
Off the ball movement creates possibilities za ku block passes za opponents and plays a big role when reading the movement ya adui aliye katika nafasi ya ku receive the ball, pia humpunguzia passing options adui ndo maana kuna wakati mlikuwa mna attack inabidi mrudishe mpira nyuma muanze upya.
Hendo yuko poor sana kwenye haya, bora alivyotolewa DM na ana bahati sana kucheza Liverpool plus his fellow Lovren. He is our captain but what he offers inside the pitch is shit.
BAHARIA MMOJA AMEAMUA KUTOA YA MOYONI KUHUSU VVD
Kwangu Mimi naona huyu jamaa ana bahati Sana tena Niite ya mtende......amecheza soka nyakati ambazo mabeki bora, makini na katili wameisha duniani.....huyu bwana angecheza miaka kumi nyuma wala asingetajwa kweny timu bora ya UEFA......huyu bwana amecheza nyakati ambazo mabeki wa Man Utd ni Phile Jones, au Smalling.....Chelsea wakimtegemea Kourt Zouma, na Rudiger.....Arsenal wakimtegemea Sockratis na Luiz, kweli?.....Barcelona hawana tena Puyol na Raphael Marquez, Hakuna tena Fabio Cannavaro pale Juventus na baadae Real Madrid....Hivi huyu Beki anawajua Vidic na Reo Ferdinand? ......mabeki hawapo duniani Sasa hivi ndg zangu, hatuna tena Alexandra Nesta wala Alexandra Costacuta,......huyu jamaa hata kwa Paulo Maldini asingeokota namba.....Yule beki katili Carles Puyol au Lucio, au hata Roque Junior huyu dogo Sijaona tackling za Nesta kwake
Kweli duniani Hakuna mabeki mpk Frank De Ligt wanasifiwa......hongera Sana kijana.....una Bahati Kama vijana wanaosoma Leo shule nyingi za kata, vyuo vikuu tele...mtuulize sisi enzi za Mlimani
Kila zama na kitabu chakeBAHARIA MMOJA AMEAMUA KUTOA YA MOYONI KUHUSU VVD
Kwangu Mimi naona huyu jamaa ana bahati Sana tena Niite ya mtende......amecheza soka nyakati ambazo mabeki bora, makini na katili wameisha duniani.....huyu bwana angecheza miaka kumi nyuma wala asingetajwa kweny timu bora ya UEFA......huyu bwana amecheza nyakati ambazo mabeki wa Man Utd ni Phile Jones, au Smalling.....Chelsea wakimtegemea Kourt Zouma, na Rudiger.....Arsenal wakimtegemea Sockratis na Luiz, kweli?.....Barcelona hawana tena Puyol na Raphael Marquez, Hakuna tena Fabio Cannavaro pale Juventus na baadae Real Madrid....Hivi huyu Beki anawajua Vidic na Reo Ferdinand? ......mabeki hawapo duniani Sasa hivi ndg zangu, hatuna tena Alexandra Nesta wala Alexandra Costacuta,......huyu jamaa hata kwa Paulo Maldini asingeokota namba.....Yule beki katili Carles Puyol au Lucio, au hata Roque Junior huyu dogo Sijaona tackling za Nesta kwake
Kweli duniani Hakuna mabeki mpk Frank De Ligt wanasifiwa......hongera Sana kijana.....una Bahati Kama vijana wanaosoma Leo shule nyingi za kata, vyuo vikuu tele...mtuulize sisi enzi za Mlimani
hana namna yeye ajitoe VVD kwanza ndio miaka 28 anaelekea kwenye ubora wake....BAHARIA MMOJA AMEAMUA KUTOA YA MOYONI KUHUSU VVD
Kwangu Mimi naona huyu jamaa ana bahati Sana tena Niite ya mtende......amecheza soka nyakati ambazo mabeki bora, makini na katili wameisha duniani.....huyu bwana angecheza miaka kumi nyuma wala asingetajwa kweny timu bora ya UEFA......huyu bwana amecheza nyakati ambazo mabeki wa Man Utd ni Phile Jones, au Smalling.....Chelsea wakimtegemea Kourt Zouma, na Rudiger.....Arsenal wakimtegemea Sockratis na Luiz, kweli?.....Barcelona hawana tena Puyol na Raphael Marquez, Hakuna tena Fabio Cannavaro pale Juventus na baadae Real Madrid....Hivi huyu Beki anawajua Vidic na Reo Ferdinand? ......mabeki hawapo duniani Sasa hivi ndg zangu, hatuna tena Alexandra Nesta wala Alexandra Costacuta,......huyu jamaa hata kwa Paulo Maldini asingeokota namba.....Yule beki katili Carles Puyol au Lucio, au hata Roque Junior huyu dogo Sijaona tackling za Nesta kwake
Kweli duniani Hakuna mabeki mpk Frank De Ligt wanasifiwa......hongera Sana kijana.....una Bahati Kama vijana wanaosoma Leo shule nyingi za kata, vyuo vikuu tele...mtuulize sisi enzi za Mlimani
hakika huyu ni living proof ya miracle do happens for real na si kingine...Inawezekana Hendo akawa mchezaji mwenye bahati kuvaa reds shirt kwa mafanikio.
Mimi kila Wiki lazima niangalie highlights za hiyo gemu kwa kweli haichoshi.When i want to give up on anything
Huwa narudi kuangalia game ya come back yetu na barcelona
Aisee huwa spirit yangu inakua lifted up faster
Kwamba never give up !!!
Never give up mani
Mimi naona Hendo ni Living proof ya kuwa uchawi upohakika huyu ni living proof ya miracle do happens for real na si kingine...
What do you understand kuhusu "off-ball movements"?
technical limited players wanaweza ku-perfect hiyo term ya "off-ball movement?"
If, Henderson anamlinda Trent akiwa high-up the pitch, then kazi ya Fabinho (Defensive Mid) ni ipi uwanjani? and inakuwaje a 1st phase presser kwenye MF-3 anafanya kazi ya kumlinda RB? can we term issue ya "ku-cover line spaces/angles from high up the pitch mpaka kwenye your own backline" kama kumlinda RB au kuziba counter-angles?
What is Hendo's position here? covering the lines/anamlinda Trent or isolating Fabinho in the middle?
and, talking about, off-ball movements, what are Henderson & Milner doing here? are they right kwenye suala la "off-ball movements? if yes, then who's covering For Fabinho ambaye he's getting pressed with two opponent players in the D-zone, and Kante with 2 eyes on Faby and blocking the lines kwenye kwa Milner & Bobby. so you have Faby surrounded by 3 chelsea players, aliye mbele ya Faby ana-act kama hajui kama Faby yuko nyuma yake, and anaangalia zaidi movements za miguu ya VVD...
Meanwhile, Hendo is pointing mbele, meaning he's shouting at VVD to pass the ball forward, so why yeye hakuomba hiyo pass? ni kwasababu yupo kwenye eneo ambalo hawezi ku-receive a long-cutting pas btn the lines, as you can see huyo aliyevaa jersey 27, (i think ni Azp), anaangalia movements za miguu ya VVD, second ambayo VVD atatoa pass kwa Hendo, tayari anakuwa ashafika kwa Hendo and try to press, so Captain analijua hilo na ndiyo maana akawa ana-shout VVD apige tu mbele, asijaribu kum-pasia. so VVD atafanya kitu gani hapa? ni pass the ball to Matip, and Matip passes it back kwa GK, then tunaanza ku-build-up upya. why? because ya SHIT OFF-BALL MOVEMENTS from Hendo & Milner. what is Milner doing there? yupo kwenye eneo la kuweza ku-receive na ku-release a good pass? Hendo? yupo kwenye eneo nzuri la kuweza ku-receive na ku-release a good pass between the lines? je what about space awaraness? how can you isolate your DM like that? it should be a 1-2 set up, not a useless Vertical line set up. Klopp playing a high-line defensive footie, because he wants these workhorses to try and form a compact MF, in a way of perfecting their roles, and let the Fullbacks attack high up the pitch. Fabinho sits back and defend both sidelines, Gini acting as a 2nd ball winner, and Hendo acting as a first ball winner nje kidogo ya box la opponents akitokea pembeni kuingia katikati, he's our main last-ditch presser/ball winner and 3rd creator behind Trent & Andy. Hendo was shit at 6 role because he lacks Off-ball movements skills. unless utanipa maana nyingine ya off-ball movements.
i dont hate Hendo, but for him to play good, you need to give role ambayo haiitaji akili/maamuzi ya haraka, as he's a pressing merchant, and pressing ni tofauti na defending.
so whats your knowledge kwenye suala la off-ball movements? and kwenye suala la defending/cover, Klopp decided to drop Hendo more central as 1 ball winner, baada ya kumuanzisha kama false LM, against Norwich, na kumpa majukumu ya ku-cover left flank + pressing high-up the pitch, huku VVD akiruhusiwa kusogea mbele zadi na Andy, ili kutengeneza a slightly "Trent, but it backfired as Hendo failed totally to protect/defend/Cover Andy na kumfanya Pukki awe na field day siku ile, and Klopp tried to change set up baada ya Norwich, now VVD/Matip are playing mostly mwisho kwenye 2nd phase ya backline, with Faby close to them covering both lines, and let the FBs push the ball forward.
Been saying for ages, Klopp is fieling a 433 formation, because bado hajapata his typical number 10. ni mtu ambaye ana-take time kutafuta players, tetesi ni kuwa we'll try for Aouar, next summer (can play 10/8). klopp been looking for his perfect 10 tangu Phil aondoke, he saw something in Fekir, but the deal fell through, na hakungahaika tena, and thats this summer alitaka kuwa na Coutinho tena. and thats Klopp, ana aina ya wachezaji wake, na huwa yupo willing kuwasubiri, check Aouar na utaelewa.
see, the diagram, for more details.
lets have a good discussion about this.
View attachment 1196215
Ni kweli kabisaNa Bayern playoff VVD anatumia adhabu huyu huyu Lovren akamdhibiti Lewo
Lovren sio beki mbaya kama baadhi wanavyo mzungumzia
Mzee liva inanipa hasira ya kutafuta maishaMimi kila Wiki lazima niangalie highlights za hiyo gemu kwa kweli haichoshi.
hahaha eti wazungu hawananga tunguliiii🤗🤗🤗🤗🤗🤗😎😎😎😎Mimi naona Hendo ni Living proof ya kuwa uchawi upo
wow all the best Baba S....Mzee liva inanipa hasira ya kutafuta maisha
Sa hivi nasaka money nataka niwe na pesa za kutosha
On two years to come kukiwa na game lolote la liva ambalo nataka niende nikali view uwanjani
Naenda bila ya kujali flight fairs au kiingilio cha uwanjani yaani nikijisikia kuangalia mechi
Niende uwanjani
I love this team aisee !
It's not a guess, you were right Kopwell said TAGGED...until Grujic is available next season huyu Hendo bado tunae sana tu...
Position wise he is shit kwa kweli...that the missing number to have a fully operating unit...
simshangae Klopp kukomaa na 4 3 3 maana he lacks the 'right' kind of players he needs to change the system...
Lovren tumebaki nae jamaa anakula i guess £90,000 kwa wiki lol parefu mno...he aint getting any better...Manu wamemwodoa Sanchez cz he aint any better for them despite pocketing over 400,usd per week....
Asante mkuuwow all the best Baba S....
well said Loverness....Wolves bana wale gongagonga msimu huu wameanza na Europ wapo kama Burnley last season...tayari ile presha ya kucheza Europa Alhamisi na ligi wekedi imeshaanza kuwavuruga....Sean dyche aliona ile high defence line itakua rahisi kwake kupenya akacheza 442 ambayo alikua anakabia juu na kupiga counter sana Kibaya kwake alikutana na ubora wa miamba miwili hapo nyuma Matip na VVD wakaimaliza game plan ya Dyche, na kizuri zaidi ni vile walivyoutanua uwanja nilifurahi sana ilitupa mianya mingi sana ya kupress kwenda mbele kwa wepesi wa kiasi chake, kuliko wangekabia chini sana na kuubana uwanja kama kawaida yao.
Hii high line inamuhitaji opponent àwe na front line timamu na AM mwenye ubora wa clear long balls,. I can't kukutana na Nuno (wolves tactician) pale kwao maana ndipo huwa bora,. pep na Brendan Leicester imenivutia uchezaji wake United & Everton (sababu ya upinzani ulipo)
Kikubwa hii International isitulete injuries sababu ni kiwanda kizuri cha injuries.
Moja ya sababu aliyotoa Klopp kutosajili mchezaji wa kuingia Team A direct ilikua ni ishu za kwamba pamoja na mambo mengine Klabu inalipa mishahara....It's not a guess, you were right Kop
Lovren anachukua £80k hadi 90k kwa wiki , sema na umri pia umechangia jamaa kuwa katika level hiyo ya mshahara.
VVD, Allison, Fabinho nilikuwa naomba sana wapewe £200,000 kwa wiki maana hata Spurs nao wapo wana adjust mishahara yao , Kane na Ndombele wapo kwenye £200k salary, Eriksen wamemuwekea zaidi ya £170k mezani ingawa anasuasua kusaini.
Salary policy inatakiwa kubadilika sasa maana kama Spurs ambao huwa nyuma yetu kwenye mapato ila wamewapa £200k wachezaji wawili and could be more ila sisi £200k yupo Salah peke yake
Kila la kheri mliverpool mwenzangu kwa kweli inapendeza sana.Mzee liva inanipa hasira ya kutafuta maisha
Sa hivi nasaka money nataka niwe na pesa za kutosha
On two years to come kukiwa na game lolote la liva ambalo nataka niende nikali view uwanjani
Naenda bila ya kujali flight fairs au kiingilio cha uwanjani yaani nikijisikia kuangalia mechi
Niende uwanjani
I love this team aisee !
Hawajakosea kumpa huo mshahara huyu Dejan Lovren, Lovren once a starter at CB katika EPL Big Club na umri umeenda hawezi kuwa anachukua less than that salaryMoja ya sababu aliyotoa Klopp kutosajili mchezaji wa kuingia Team A direct ilikua ni ishu za kwamba pamoja na mambo mengine Klabu inalipa mishahara....
sasa natuamini pengine baada ya kupata haya makombe mawili basi wanaostahili kuongezwa mpunga basi waongezwe na pengine kuwaongeza na mikataba....
Kama Salah mshahara pekee na hio £200 basi mpaka Adds on ndogo antoka vizuri mno...
Firmino, Mane, VVD, Allison, Robbo, TAA, Matip, Gomez wanastahili kama mikataba yao inaruhsu basi waongezwa ila sasa kuwe ma harmony kusiwe na ridiculous highest paid na lowest paid hili hua linaleta discomfort na mshnikamano kwenye timu...Pep pale Manciti wont pay above the agreed structure .
ni muhimu sana kua na capping kwenye Salary...
Spurs ishu pale ni kwamba baada ya kumaliza uwanja sasa they have that freedom lakini zamani wasingeweza na hii iliwanyima pia wachezaji wengi wazuri kwenda kwao...sasa angalau kwa vile baada ya kufika fainali na wachezaji kuongea laivu kutoridhiswa na malipo naona wameelewa this days Money is football and football is money...
Lovren sielewi wakati analipwa huo mshahara Klopp aliona lipi kwa huyu mjamaa