Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Yani huyu Man City anapokuwa mbovu hatumfungi, Lakini akiwa Mkali ndiyo tunamfunga
Raha tu kwetu. London is 💙💙💙💙💙💙We ENDELEA TU kuwa nao
ile penati ya Gini ilikua predictable kabisaaaaa...Tokea tulipokafunga Katimu cha mchangani tukabeba Carling Cup mwaka 2012 sikumbuki tena kushinda kwa Matuta.
Ni Mara ya 2 hii mfululizo Man City anatutoa kwa Matuta.
Klopp alifanyie kazi hili suala la Matuta.
Aisee halafu Kuna kipind alikuwa anafananishwa na Messi.Salah kanikera sana huyu fala
Aligeuka sara
Ndo maana klopp hakumchezesha ile gemu ya barca maana game ngumu hazihitaji warembo warembo kama yeye
Salah anampira wa kizamani sanaAisee halafu Kuna kipind alikuwa anafananishwa na Messi.
Messi yupi ?Aisee halafu Kuna kipind alikuwa anafananishwa na Messi.
"Just a mickey mouse trophy Broh"Tumeshapoteza Trophy moja