Na inapocheza Senegal nakuomba umuangalie Sadio Mane ikisha uje useme hapa kuwa hafai hata kuokota mipira kwa Liverpool anazidiwa Mara 100000000 na Lallana.
Kwani wachezaji wa Timu nzima ya Senegal wanaperform vizuri kuliko yeye.
Nadhani utakuwa ndiyo Mara yako ya kwanza kufatilia AFCON coz asilimia kubwa ya wachezaji wanaocheza Ulaya huwa wanakuwaa Underperforming wanapocheza Timu zao za Taifa za Kiafrika kutokana na ubabaishaji wa kutokuwa na posho kama za Vilabu vyao, Kuhofia injury, na kukosa uzalendo wa uhakika.