Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 13,566
- 28,526
you have choosen wisely Berg welcome to where dreams come to reality..
you have choosen wisely Berg welcome to where dreams come to reality..
Mkuu ndio maana ninasemaga hiki kipind mawakala na watu wa media wanatengeneza Sana pesa,wanaweza mpamba mchezaji au kutengeneza bei ya mchezaji Hadi mkachanganyikiwa....Hivi huyu pepe ninayemuona hapa vs morocco mdio mnataka aje liver??? Plzzz hafai hata robo...origi anamzidi mara elfu
Hivi huyu pepe ninayemuona hapa vs morocco mdio mnataka aje liver??? Plzzz hafai hata robo...origi anamzidi mara elfu
Mkuu ndio maana ninasemaga hiki kipind mawakala na watu wa media wanatengeneza Sana pesa,wanaweza mpamba mchezaji au kutengeneza bei ya mchezaji Hadi mkachanganyikiwa....
Upo sahihi kabisa.Na inapocheza Senegal nakuomba umuangalie Sadio Mane ikisha uje useme hapa kuwa hafai hata kuokota mipira kwa Liverpool anazidiwa Mara 100000000 na Lallana.
Kwani wachezaji wa Timu nzima ya Senegal wanaperform vizuri kuliko yeye.
Nadhani utakuwa ndiyo Mara yako ya kwanza kufatilia AFCON coz asilimia kubwa ya wachezaji wanaocheza Ulaya huwa wanakuwaa Underperforming wanapocheza Timu zao za Taifa za Kiafrika kutokana na ubabaishaji wa kutokuwa na posho kama za Vilabu vyao, Kuhofia injury, na kukosa uzalendo wa uhakika.
Hata liver wamesema.kuwa ni media wa agent wake wanataka wampaishe ili wapate mpunga mrefu sasa waliona wakisema liver ndo inamtaka basi club nyingine zitamkimbilia. Ila liver hawana time naeMkuu ndio maana ninasemaga hiki kipind mawakala na watu wa media wanatengeneza Sana pesa,wanaweza mpamba mchezaji au kutengeneza bei ya mchezaji Hadi mkachanganyikiwa....
Yule dogo wamesema haendi u23. Nina uhakika lovren anasepa. So mara moja moja dogo atapata game timeNakumbusha tu:
Mpaka sasahivi hatusajili mchezaji hata Mmoja wa kuongeza Depth (Neither Regular starter nor Squad player).
Yule dogo aliyesajiliwa ni Sawa na Ki-jana tu atapelekwa U23 au atakuwa loaned out.
Bila ya kuongoza wachezaji (Depth) basi tusahau kushindana na Man City.
Yule dogo wamesema haendi u23. Nina uhakika lovren anasepa. So mara moja moja dogo atapata game time
Kama ni Player for the future sawa ....,tunahitaji Qualify players for right now tunahitaji kuongoza Qualify footballer tuachane na hizi Cheap optionYule dogo wamesema haendi u23. Nina uhakika lovren anasepa. So mara moja moja dogo atapata game time
Kamtazame Hakim Ziyech wa Ajax na huyu wa Morroco hautaamini utakachokiona sio kwa Pepe tu.Mkuu ndio maana ninasemaga hiki kipind mawakala na watu wa media wanatengeneza Sana pesa,wanaweza mpamba mchezaji au kutengeneza bei ya mchezaji Hadi mkachanganyikiwa....