Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
umesema ukweli mtupu na hii ndio inawatafuna PSG kwa sasa, wapo wachezaji wanajituma kisawasawa uwanjani aafu mishahara yao kiduchu aafu hawa wauza sura Neymar, Mbappe wapo wapo tu kama vile wao wapo ki star zaidi ya wengine...Tuachane nao hao wachezaji wakutaka mishahara mikubwa halafu uwanjani wavivu kukaba timu ikishambuliwa anasimama mbele tu.
Kumlipa mshahara mkubwa kabla ya kuonesha kiwango hapo ni kutake risk. Unamlipa huo mshahara anakuja kuwa flop hasara kwetu.
Kwa mtazamo wangu huyo mchezaji hatufai kabisa hapo,me sipendi hao wachezaji wenye majina waje hapo.
Kama wanataka hela waende barca au Madrid huko, wakauze na jezi.