Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG_5561.JPG
 
View attachment 1127265

i love being a controversial character kwa kuchokonoa vitu unpopular but important in equal measure.
leo nakuja na Lovren... hahahaa!

kwenye hiyo poll hapo juu mimi niko hapo kwa 29%.

why? scroll down....


Levron may not be a Rollsroyce type of a defender. he's probably not a cup of tea for many (71%). however, for a back up role and squad depth he is still more decent (experience-wise) than most of those we could think of recruiting.
labda kama tutamuuza for at least 50M ili tupate a better (marquee-type) replacement, but for 25M? hell NO!
at that sort of price you can only land a prospect but as an EPL championship-aspiring outfit, LFC needs to invest more on finished articles than prospects.

tukumbuke pia kuwa for a set of CB's tulio nao sasa ambapo ukimwondoa VVD, wengine wote fitness levels zao zinatia shaka (sidhani kama kuna anyone of them anaweza ku feature kwenye even 50% of the games katika msimu bila ya kulazwa kwenye treatment table).

my opinion: kama kweli tutaamua kumuuza Lovren then we MUST have an upgrade to the level of de Lijt as replacement!

King Ngwaba etal - povu ruksa.... hahahaaa!
kumbe wenye mashaka kuhusu Levron (na kuangalia kwa jicho la tatu) tupo wengi bana!

read this.....

1127547
 
kumbe wenye mashaka kuhusu Levron (na kuangalia kwa jicho la tatu) tupo wengi bana!

read this.....

View attachment 1127547
Hata mm siungi mkono kuuzwa kwa huyu jamaa achana na swala la Bei ndogo ila angebaki msimu huu Tena ili tujaribu kugombea vikombe viwili vitatu tukiwa na kikosi kipana..kweli Ana matatizo yake lkn kwa historia ya pancha za mabeki wetu na hata Kama tukipata beki mpya Kuna kuwaga na kale kaugonjwa ka kuzoea mazingira na style yetu...An la mwisho kiukweli 25m bado hatujamtendea haki lovren.
 
Hata mm siungi mkono kuuzwa kwa huyu jamaa achana na swala la Bei ndogo ila angebaki msimu huu Tena ili tujaribu kugombea vikombe viwili vitatu tukiwa na kikosi kipana..kweli Ana matatizo yake lkn kwa historia ya pancha za mabeki wetu na hata Kama tukipata beki mpya Kuna kuwaga na kale kaugonjwa ka kuzoea mazingira na style yetu...An la mwisho kiukweli 25m bado hatujamtendea haki lovren.
hapa swali ni je kuuza na kupata mbadala bora na sahihi au kuuza na kutonunua beki...ishu na huyu ni pancha pia..

auzwe tununue kisiki sahihi.
 
hapa swali ni je kuuza na kupata mbadala bora na sahihi au kuuza na kutonunua beki...ishu na huyu ni pancha pia..

auzwe tununue kisiki sahihi.
Turudie mfano tulipomtoa clyne kwa mkopo halafu Trent akaumia....so si ajabu kuona tukiuza na tusinunue yyt tukiamini waliopo wanatosha maana kwa hiyo pesa tunayouza itabidi tuongeze pesa kupata beki yyt mzur wa Kati na soko kipind hiki unaona lilivyo....anyways let's hope for the best mkuu CAPT.nia yetu wote Ni kujenga
 
Turudie mfano tulipomtoa clyne kwa mkopo halafu Trent akaumia....so si ajabu kuona tukiuza na tusinunue yyt tukiamini waliopo wanatosha maana kwa hiyo pesa tunayouza itabidi tuongeze pesa kupata beki yyt mzur wa Kati na soko kipind hiki unaona lilivyo....anyways let's hope for the best mkuu CAPT.nia yetu wote Ni kujenga
kama Lovren atauzwa ni LAZIMA tununue mbadala ambaye ni kisiki zaidi yake. tusibahatishe.
otherwise abaki tu hakuna namna!
 
Turudie mfano tulipomtoa clyne kwa mkopo halafu Trent akaumia....so si ajabu kuona tukiuza na tusinunue yyt tukiamini waliopo wanatosha maana kwa hiyo pesa tunayouza itabidi tuongeze pesa kupata beki yyt mzur wa Kati na soko kipind hiki unaona lilivyo....anyways let's hope for the best mkuu CAPT.nia yetu wote Ni kujenga
upo sahihi tatizo la Lovren umri unamkamata n th.boy is not getting any better...

swali la.kujiuliza ni impact anayoleta akipewa nafasi ebu tujikumbushe kidogo kwa nini huyu jamaa ni mzigo..
1) Msimu wa 2017/2018 mechi ya Spurs waliyotufunga ni yeye aliechoma mpaka akatolewa chap..
2) Msimu wa 2017/2018 mechi ya Manu waliyotufunga ni yeye aliechoma
3) msimu wa 2018/2019 pale Ethad goli Aguero ni yeye aliechomesha tukaambulia kipigo..

jamaa ni mzito wa kureact, ni mzito wa ku keep position, hana maamuzi ya fasta kulingana na situation iliyopo, instinct zake zipo chini mno..yupo super predictable..

si semi wengine hawachomi ila ki ufupi maoni yangu jamaa ni mzigoo balaaa..

ni kweli haimaanisha kuuza ndio tutaingia sokoni chap hapana hayo ni maamuzi ya timu..

binafsi nipo tayari kuona tuki risk auzwe na Klopp apandishe ndogo wa academy awe under study wa waliopo kuliko huyu jamaa abakie...
 
nakubaliana na wewe.
kama atauzwa ni LAZIMA tununue mbadala ambaye ni kisiki zaidi yake. tusibahatishe.

Klopp anajua fika pale nyuma mabeki wa kati zaidi ya VVD wengine wote ni pacha, Gomez pancha, Matip nusu pacha, Lovren pancha...hivyo ni eneo anohitaji kulitazama kwa jicho la ziada...

kuuzwo kwa Greatest defender Lovren kama anavyojiita itapunguza payroll na kutoa chance sasa kwa usajili mpya...

sio lazima iwe marquee signing...ingewezakana akamchukue our own red Conor Coady pale Wolves kwa £35m+ ni usajili safi na jamaa ni kazi kazi...
 
View attachment 1127265

i love being a controversial character kwa kuchokonoa vitu unpopular but important in equal measure.
leo nakuja na Lovren... hahahaa!

kwenye hiyo poll hapo juu mimi niko hapo kwa 29%.

why? scroll down....


Levron may not be a Rollsroyce type of a defender. he's probably not a cup of tea for many (71%). however, for a back up role and squad depth he is still more decent (experience-wise) than most of those we could think of recruiting.
labda kama tutamuuza for at least 50M ili tupate a better (marquee-type) replacement, but for 25M? hell NO!
at that sort of price you can only land a prospect but as an EPL championship-aspiring outfit, LFC needs to invest more on finished articles than prospects.

tukumbuke pia kuwa for a set of CB's tulio nao sasa ambapo ukimwondoa VVD, wengine wote fitness levels zao zinatia shaka (sidhani kama kuna anyone of them anaweza ku feature kwenye even 50% of the games katika msimu bila ya kulazwa kwenye treatment table).

my opinion: kama kweli tutaamua kumuuza Lovren then we MUST have an upgrade to the level of de Lijt as replacement!

King Ngwaba etal - povu ruksa.... hahahaaa!

Mkuu me nipo kwenye 71% hapo, uwezo wa lovren ni mdogo sana japo anaipenda sana timu.

Kama ulikuwa unafatilia mechi za mwisho mechi za muhimu na ngumu zote alikuwa apangwi. Sasa msimu unaoanza ndio tumepania kuchukua ubingwa hawezi kupangwa labda wachezaji wengine wawemajeruhi ndio atapangwa au fa na caragabao cup

Kama atabaki kwenye timu atakuwa anakula mshahara wa bure tu sasa si bora tuchukue hizo 25, tuongezee au hiyo hiyo tutafute beki yakueleweka ila sio lovren mkuu labda umesahau kwenye mechi ambazo alikuwa anaalibu kabisa wenzake wanalekebisha makosa yake.

Mkuu me naangalia ushindi wa timu sio hiyo hela.akicheza lovren me nakuwaga na mashaka sana.

De ligt hata simkubali,napenda tusajili kama tulivyofanya kwa wachezaji wengine kama robertson,gini na wengine.tusichukue mchezaji wenye majina hawana cha kuja kutuonesha hapo.

Tuchukue wenye njaa na mafanikio na sio mtu star tayari anakuja kutembea tu hapo.

Klopp na mwamini kwenye usajiri mpaka sasa mchezaji aliyemsajiri yeye ambae amefeli ni karius tu.

Lovren aondoke kwa hiyo 25 tu .akibaki atatutia hasara tu badala ya faida.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom