IMG_5571.JPG
 
hahahaaa.... haya bana.

it's just that niko very obsessed na EPL trophy kiasi kwamba hawa mabeki ambao hawapo tested kwenye highest level nakosa nao imani kabisa aisee.
we need to win EPL hilo halina mjadala, kikosi kilichopo na kocha tulienae that is attainable...

well we just need some solid signing n cement our status as UK best bt without EPL trophy our souls wont settle for nothing less...

upo sahihi players not tested at highest level cn be a gamble..bt look at Pogba released or sold by Manu to Juve made his name there..Pique sold by Manu n look at him now...Conor Coady wsnt good to get his contract wt us bt look at him now...look at Suso n.k

sometyms this boys need game tym to blossom properly n make history...

we already have Gomez, Matip, Fabihno who play that role wt ease n not prone to mistakes that lead to goals like Lovren so why not cash now n reinvest..

M-mbabe una roho ngumu haha...i mean ukiona starting line up Lovren yumo u dont get goose bumps lol...this guy like Simon, Karius send shivers to my spine nikimuona uwanjani..he shold goooo
 
we need to win EPL hilo halina mjadala, kikosi kilichopo na kocha tulienae that is attainable...

well we just need some solid signing n cement our status as UK best bt without EPL trophy our souls wont settle for nothing less...

upo sahihi players not tested at highest level cn be a gamble..bt look at Pogba released or sold by Manu to Juve made his name there..Pique sold by Manu n look at him now...Conor Coady wsnt good to get his contract wt us bt look at him now...look at Suso n.k

sometyms this boys need game tym to blossom properly n make history...

we already have Gomez, Matip, Fabihno who play that role wt ease n not prone to mistakes that lead to goals like Lovren so why not cash now n reinvest..

M-mbabe una roho ngumu haha...i mean ukiona starting line up Lovren yumo u dont get goose bumps lol...this guy like Simon, Karius send shivers to my spine nikimuona uwanjani..he shold goooo
yeah, dude.... you got a point there I guess.
 
tatizo wengi wetu humu tunajisahaulisha tu na kuishia kukosa shukurani.

Lovren baada ya ile 4-1 shambolic performance vs Spurs alikuja ku transform sana for the better. alikuja kuwa na performances nzuri kwenye most of the subsequent matches - notably he was our best player on the pitch vs R Madrid kwenye ile UCL final, needless to mention that alikuwa ni ndiye defensive linchpin kwenye timu yake ya taifa Croatia iliyofika WC final.

achievement hizi (kucheza kwenye 2 biggest finals in the world's football fraternity) zikampelekea aji brand kama "one of the best defenders in the world" and I tell you what - not even his bitterest haters could find proper arguments against that. alimaliza msimu ule on the high!

ni bahati mbaya sana kwake alianza msimu uliofuata na serious injury na hii ikapelekea inconsistency kwenye performances zake. tatizo watu wanataka kila defender awe kama VVD - which is ridiculous!

huko kwenye NL national team kwenyewe yule dogo de Lijt anabebwa sana na partnership ya VVD.
vs England yule dogo alifanya makosa makubwa 2 na 1 likapelekea goli.
and also ni defensive frailties za de Ligt ndizo zilipelekea Spurs kuwang'oa Ajax kwenye UCL semis lakini bado he's still being courted by the biggest clubs in Europe.
angekuwa Levron ndiye amefanya makosa haya haters wangesema ana belong to the sunday league football!

nina uhakika Lovren akibaki halafu performance yake ikawa nzuri na yeye kuwa ndiye suitable partner wa VVD bado watu humu hawatamu appreciate na badala yake watatafuta mtu mwingine wa kumlaumu au kumpa credit.
remember Hendo? performance yake ilipo improve towards the end of last season watu badala ya kumu appreciate Hendo wakaanza kumponda genius wetu Klopp. come on!!
Mkuu i beg to differ..lovren anazngua sana its better tuchkue hiyo 25M+ aondoke tu tuongezee at least 10M tununue another reliable CB.. Do you remember after the WC finals alikua injured but hakutoa taarifa yeyote kwa club kipind yuko likizo ili Klopp asfanye usajili wowote wa CB.. badluck kwake ikawa ndo the rise of Gomez

Kuhusu De light bado sjamkubal sana kwasababu ana makosa mengi sana(the good thing ni kwamba he still young., so he is learning)
 
share na sisi track record ya Philips kwenye highest level.

unless unataka kufanya experiment kwenye msimu tunaotafuta EPL honour - which is absolutely insane!
Kwani gomenz ulitegemea kama atafit pale kati? Pre seson ya msimu uliopiza ndo alisimama yeye kati kaonyesha uwezo mkubwa tu akipewa nafasi ataziba pego kama ilivyo kwa Origi.

Tatizo kocha hata mechi tulizo pata ushindi mzuri mapema bado sab aliingiza kina Milna makinda inatakiwa wapewe nafasi
 
View attachment 1127265

i love being a controversial character kwa kuchokonoa vitu unpopular but important in equal measure.
leo nakuja na Lovren... hahahaa!

kwenye hiyo poll hapo juu mimi niko hapo kwa 29%.

why? scroll down....


Levron may not be a Rollsroyce type of a defender. he's probably not a cup of tea for many (71%). however, for a back up role and squad depth he is still more decent (experience-wise) than most of those we could think of recruiting.
labda kama tutamuuza for at least 50M ili tupate a better (marquee-type) replacement, but for 25M? hell NO!
at that sort of price you can only land a prospect but as an EPL championship-aspiring outfit, LFC needs to invest more on finished articles than prospects.

tukumbuke pia kuwa for a set of CB's tulio nao sasa ambapo ukimwondoa VVD, wengine wote fitness levels zao zinatia shaka (sidhani kama kuna anyone of them anaweza ku feature kwenye even 50% of the games katika msimu bila ya kulazwa kwenye treatment table).

my opinion: kama kweli tutaamua kumuuza Lovren then we MUST have an upgrade to the level of de Lijt as replacement!

King Ngwaba etal - povu ruksa.... hahahaaa!

He's good for nothing! ha ha ha
Hope Klopp will show him way out
 
Kwani gomenz ulitegemea kama atafit pale kati? Pre seson ya msimu uliopiza ndo alisimama yeye kati kaonyesha uwezo mkubwa tu akipewa nafasi ataziba pego kama ilivyo kwa Origi.

Tatizo kocha hata mechi tulizo pata ushindi mzuri mapema bado sab aliingiza kina Milna makinda inatakiwa wapewe nafasi
lawama kwa locha again - wee jamaa bana!

sometimes ndiyo maana to a certain extent huwaga namwelewa Malafyale !
 
Back
Top Bottom