Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


Magalasa yote yaondoke tubaki na wachezaji sasa.
 
Sasa apo ci mutabaki na Keita, VVd, Allison, na Mane tu.

Salah na Firmino wanaeza kuwa Liability msimu huu mpya.
aisee ndugu yaaani unaanza kupiga ramli nani atakua liability hata ligi haijaanza kweli wewe ni nomaaa...

unatakiwa kua na hofu maaana Hazard amekua akiibeba Blues kwa kipindi kirefu sana, hapo sasa pengo lake kuliziba kazi mnayo na ndio bado usajili mmefungiwa huyo Coutino mtamsikia tu..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…