Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

alikurupuka tu kuandika hiyo comment au anachuki binafsi na klopp mwambie matip na salah pia ni wazungu?huyu ollachuga sometimes dishi huwa linayumba!
Unajua Kwanni Klopp anamchezesha Mane halafu anamuacha Keita.?
 
Sasa mbona sijaona TRENT maana jezi namba 66 ni kubwa mno.
 
Uyu jamaa ataboronga Sana Afcon ..apo ndo utakapoonekana ubovu wake..

Anaogopa kuumia,maana kuna watu wanataka kutoka kwa kumkaba mane yaani wanakukamia mpaka unashangaa mpira mbona Sio ugomvi.

Sio huyo tu wengi tu hawata onekana.ila kwenye kundi walipo hakuna wakumzuia huyo kwenye makundi wanavuka.ila kingine hao senegal mpaka wana fuzu kwenye hiyo afcon.naweza kusema mane ndio amewapeleka.

Mechi ya mwisho aliingia dak71, huku senegal wakiwa wamefungwa 1 bila,alianza kupangua beki akatia la kwanza la pili akassist,Senegal wakafuzu.
 
Ni Vizuri akaondoka ili kupisha kizazi kingine. Sisi huwa tunatengeneza malegendary wanaobeba/waliobeba makombe..

Sisi sio Liverpool mkuu.
hahaha ni ngumu sana kuifananisha Liverpool na Chelsea ndugu na hujakosea kabisa nyie sio Liverpool...mkisogea angalau mpate UCL 4 ndio tutakua tunazungumza lugha moja...
 
Sasa mbona sijaona TRENT maana jezi namba 66 ni kubwa mno.

Yani huyo na hilo namba ndio alitakiwa kuwa wa kwanza kabisa kubadilishiwa namba,lakini mpaka sasa hakuna dalili zozote. Msimu ujao utakuta anabaki na linamba hilo hilo.
 
definetly our player of the season contender for th front three...his energy, tricks, skills, just still keeping better n better...

cant lose this now when we are just getting better as a unit
 
whats more interesting there ws interest almost from Crystal Palace n other few teams in Jan...Klopp stood his ground n here we are wt our hero vs Barca n the final vs Spurs...

now here he is getting a new contract n his name already printed as a Liverpool Great...whats a season he has had...

patience pays.
 
Hahaha Nazi guy...i.like that one...

Surely we all know Bobby when fit is irreplaceable in our squad bt his couldnt shake his injury in tym n be fit 100% for the final...

lets hope he come back fit for the new season...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…