Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


Baada ya kuona press ya Pep akisema "We will come more strong than this next season".

Nilipost hii kitu hapa:-



Pep Guardiola huwa yuko very straight, hazungushi maneno.

Anachokisema ana maanisha, itokee kishindwe lakini ni moja ya watu nakubali press zao.
 
Unamaanisha pep akikaa misimu nane ijayo yeye ndio atakua bingwa?
 
Tunaweza tusitoboe ila kisingizio kisiwe pep, kwani hata msimu ujao unaweza kukuta liver au city sio mabingwa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…