du Mansour billions damn spending like cash s going out of fashion..
mbona last summer break yeye na mamsapu wake walikuwa captured wakikamata hii kitu pamoja sehemu.Mkuu huyu Klopp kweli????? [emoji16] [emoji16][emoji16][emoji16]
Kumbe tusiwacheke Chelsea Sarri kuvuta Sigara wakati hata JK anavuta podo.
Uzuri matajiri wa vilabu epl ni ma bilionea.Tatizo linakuja wapi.?Pole Mkuu...
Sasa hivi City atapunguza matumizi ya pesa...
Atawaachie nyie tu mspend..!
dogo Origi na Kiswahili chetu...
PEP promised £200m oil money this transfer window
Ingawa Kikosi chake kikovyema kuliko kikosi chochote kile cha EPL lakini still anaingia sokoni kama anaanza sasa.
Na sajili zake nyingi huwa hakosei...
Sioni tukitoboa katika kipindi chote PEP atakachokuwa England.
Kuna rumours nilipoona sehemu Budget ya Liverpool ni £100 m tuSidhani kama tunaweza kuspend hata £150m this summer..
Hawana namna nyingine ya kurudisha pesa wanazotumia zaidi ya kutumia fan base..?
Sidhani kama tunaweza kuspend hata £150m this summer..
Baada ya kuona press ya Pep akisema "We will come more strong than this next season".
Nilipost hii kitu hapa:-
View attachment 1102001
Pep Guardiola huwa yuko very straight, hazungushi maneno.
Anachokisema ana maanisha, itokee kishindwe lakini ni moja ya watu nakubali press zao.
PEP promised £200m oil money this transfer window
Ingawa Kikosi chake kikovyema kuliko kikosi chochote kile cha EPL lakini still anaingia sokoni kama anaanza sasa.
Na sajili zake nyingi huwa hakosei...
Sioni tukitoboa katika kipindi chote PEP atakachokuwa England.
Unamaanisha pep akikaa misimu nane ijayo yeye ndio atakua bingwa?
Tutakuwa tushamtimsha Klopp.