losing at home to Cardif...watch out what u wish for..30 years loading....
Wadau sasa hapo golden boot atapewa nani????
Mkuu hata Cardif mshuka daraja umemshindwa haiyaaaa poleni sana mashetani wamekua butu siku hizi...Sio kwamba mnataka kumalizia hasira na maumivu yenu kwetu mashabiki wa MUFC?
😂😂😂
Uefa utachukua kirahis sanaTumepambana bahati haikuwa yetu tujipange tuludi tena msimu ujao.
Kwanini huyo na sio mane?Aubamyang
Uefa utachukua kirahis sana
Hahahahahahahaha mpira hauna adabuMkuu hata Cardif mshuka daraja umemshindwa haiyaaaa poleni sana mashetani wamekua butu siku hizi...
kudos comng back to AfricaAubamyang
Wazeee wa ndoto ndefu, huu ni muda wa kuamka sasa
nakwambia nomaa sanaaa ndio raha ya kuupenda mpira unanuna kwa kukosa ubingwa EPL unaangalia upande wa jirani anatandikwa 2 na Cardif Traford na akimaliza nafasi ya 6...pathetic n pitiful.Hahahahahahahaha mpira hauna adabu
Kwa nini huku wachezaji 3 wote wana magoli 22Mane
Ngoja tuoneKwa nini huku wachezaji 3 wote wana magoli 22
Rudisheni suti zenu kabatini
nexy year will be tough than this year...buy wiselyNext year will be our year.