Nimeota tumewacharaza goli 2 kwaoKesho Barca akitufunga basi naaomba nipigiwe life ban humu.
Ninaiamin team yangu, nimefatilia mechi zake zote msimu tofauti na misimu iliyonipita.
Added advantage ya wachezaj wetu wote ni kuwa wana defensive skills, yani si Mane, salah, Firmino mpaka backline wote wana uwezo mkubwa wa kukaba na kuzuia mashambulizi.
Funny thing, kule barca sijaona beki ya kuzuia mbwa mwitu wetu Salah Mane Firmino... Nakwambia tutaenda kupiga hawa wahuni wa Camp nou mpaka wachakae.
Nawahakikishia kuwa, Liverpool ndiyo team kubwa duniani kwa sasa, No one wants to face the reds. Tena na hivi tuna hasira za Man city kutuchefua huko EPL.
Kesho Barca akitufunga basi naaomba nipigiwe life ban humu.
Ninaiamin team yangu, nimefatilia mechi zake zote msimu tofauti na misimu iliyonipita.
Added advantage ya wachezaj wetu wote ni kuwa wana defensive skills, yani si Mane, salah, Firmino mpaka backline wote wana uwezo mkubwa wa kukaba na kuzuia mashambulizi.
Funny thing, kule barca sijaona beki ya kuzuia mbwa mwitu wetu Salah Mane Firmino... Nakwambia tutaenda kupiga hawa wahuni wa Camp nou mpaka wachakae.
Nawahakikishia kuwa, Liverpool ndiyo team kubwa duniani kwa sasa, No one wants to face the reds. Tena na hivi tuna hasira za Man city kutuchefua huko EPL.
Hao baraca hawajawahi kutufunga hapo. Na tumekuja mara4Mkiwa na hasira sio kigezo cha kuwafunga barcelona
Itachukua miaka mingi sanaa liverpool kuifunga barcelona pale camp nou
Washasema hachezi vs liverpool....bora maana anatufungaga sana yule jamaa na yuko kwenye form kweli. Na sidhani kama atabaki CASTE kama benitez ataondokaAyoze got injured on that match vs Brighton not sure he wil b okay for Reds match..
GOALSCORER Ayoze Perez hobbled off injured in the first half moments after firing Newcastle ahead against Brighton.
The Spaniard was in clear discomfort in his celebrations when he rifled the visitors ahead on 18 minutes.
Napoli wanajiaada kulepeleka ofa June, japo Castle wanasema hauzwi....Washasema hachezi vs liverpool....bora maana anatufungaga sana yule jamaa na yuko kwenye form kweli. Na sidhani kama atabaki CASTE kama benitez ataondoka
[/QUOTE]Superb kabisa jamaa yuko poa ila Messiah ajaribiwi anaweza kumvunja nyonga kabisa awe makini ,messiah anapenda kujichukulia sifa na kuwafanya mabeki kama hawa watambae kama nyoka QUOTE="Ladder 49, post: 31281735, member: 468900"]
View attachment 1084347
Mingi ipi hio,wkt walishafungwa 2 hapo hapo kwaoMkiwa na hasira sio kigezo cha kuwafunga barcelona
Itachukua miaka mingi sanaa liverpool kuifunga barcelona pale camp nou
Yeah, the injury wasnt that big though, hence nadhani he'll be just fit for this weekend.Ayoze got injured on that match vs Brighton not sure he wil b okay for Reds match..
GOALSCORER Ayoze Perez hobbled off injured in the first half moments after firing Newcastle ahead against Brighton.
The Spaniard was in clear discomfort in his celebrations when he rifled the visitors ahead on 18 minutes.
Patrick Berger.
Yah man..baada na palace ndipo atakapocheza na man u..hope ashindehiyo na palace ili tu kumuwekea pressure brighton...na pia brighton nae afungwe na arsenal mechi ijayo...labda anaweza fanya kitu mechi na city...Leicester pia wana kocha anaependa ku'battle' na miamba..labda pia anaweza fanya kitu...Mkuu cardif na brighton wote bado wapo danger zone,mechi ijayo cardif anakipiga na crystal palace anaweza kushinda hivyo akawa na point 34 hivyo anaweza akakaza mechi ya man u akawahashuki daraja.
bado kumbuka brighton mechi ijayo anacheza na arsenal ambapo probability ya kufungwa ni kubwa
Yep YepPatrick Berger.
Mkuu tomorrow prediction???Yep Yep
old is gold man, was big fan of Carlberg jersy..