Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Unadhani man untd Ina uwezo wa kuifunga cardif!?
 
Chanzo Cha hii habar mkuu!!!?
 
Kwenye football,lolote linaweza kutokea.
MC anaweza kupoteza dkk za mwisho ( mechi ya mwisho).
Kumbuka Msimu ule Man U anajiaminisha Ubingwa,Aguero akabadilisha score board at dying minutes!
Football is undesribed game.
Lakini pia ukumbuke kua hata nyie liver mnaweza kupoteza ko msijihaminishe
 
Afu umesahau kua EPL Ndo timu mbili zimeshuka muda hadi tumesahau.
Afu EPL Ndo ligi ambayo anayeongoza ligi ana point 92 wakt wa mwisho ana point 14 afu bdo mnaita ligi yenye ushindani.
Ni ushindani gani huo ambao gap la point kati ya anayeongoza na wa mwisho ni kubwa kiasi hicho
 
City jana walikuwa hoi kwa Burnely kipindi cha kwanza ila waliporudi kipindi cha pili walishambulia kama nyuki
City wako na pressure kubwa kiasi kwamba wanaweza fungwa au kudraw na Mbweha
 
Hahaa means Epl vibonde ni wengi zaidi ila wanajificha kwenye et big 6
 
City jana walikuwa hoi kwa Burnely kipindi cha kwanza ila waliporudi kipindi cha pili walishambulia kama nyuki
City wako na pressure kubwa kiasi kwamba wanaweza fungwa au kudraw na Mbweha
Na kama ingetokea Burnley wangepata goli kabla ya City PEP wangemtoa uwanjani na Ambulance kabla hata ya mechi kuisha.
 
Thts true
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…