Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kazi mliyowatuma man u wameliwa vipi tumen tena

Naona epl inapepea, uefa mess hawaachi hata kwa dawa

Liverpool poleni
 
Hivi nyie mnaomba man city afungwe na man u, si mngewapa akina mane, salah, na firimino au mulijua lukaku ndio tegemeo lenuu


Harafu hata nyie mnaweza pigwa tu, sio mmuombee njaa man city

KILA MTU ASHINDE MATCH ZAKE ZILIZO BAKI...
 
Hivi nyie mnaomba man city afungwe na man u, si mngewapa akina mane, salah, na firimino au mulijua lukaku ndio tegemeo lenuu


Harafu hata nyie mnaweza pigwa tu, sio mmuombee njaa man city

KILA MTU ASHINDE MATCH ZAKE ZILIZO BAKI...
 
Mkuu usijipe False Hope Manure hata akazie Hana uwezo wa Kumfunga wala Kudraw na Man City.

Manure anafungwa leo wala usipoteze usingizi wako subiri asubuhi uangalie LiveScore
Daaa kweli kabisa, hope jamaa alifuata ushauri wako. Poleni sana 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Zile game za Leicester na Westham mtazimbuka sana, game nyingin ni ile ya Man u pale OT
Ile match ambayo waliumia wachezaji kama wanne wa man u pale OT mlikuwa na nafasi ya Kuchukua point 3 kabisa

Lakin mlileta mapuuza naona saizi mnataman ile match ijirudie ila ndio hivo tena muda ushawaacha kabisa
 
Umeni-quote kama vile mi nasimama upande wa liverpool
Ile match ambayo waliumia wachezaji kama wanne wa man u pale OT mlikuwa na nafasi ya Kuchukua point 3 kabisa

Lakin mlileta mapuuza naona saizi mnataman ile match ijirudie ila ndio hivo tena muda ushawaacha kabisa
 
You can tell some few reds on here, have never witnessed this football club bottling the league before.

if you're a really really really LFC fan, you'd be worried right now.
31 January, 2009.

After that Leicester's draw.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom