Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Who is happy For our boy Naby Keita????


Let me see your hands fellas!!!!!
Mimi binafsi nampenda sana Keita na siku zote nasema kwanini hapangwi mwanzo ila jana nimeona kitu pamoja na kwamba kafunga na kucheza sio vibaya ila kuna sehemu ya game yake inabidi afanye kazi kwa kweli. kama kiungo kapoteza mipira kama mitatu sehemu mbaya ukipata mtu kama Hazard anakudhibu. kijana mzuri hii ndio sehemu kidogo inamuangusha najuwa speed ya EPL ila na imani ata improve ni good asset.
 
I just pray that by the time we play our last game vs Wolves we're at least 4 points clear at the top of the pile.

ninawaogopa zaidi Wolves kuliko Chelsea aisee. wale watoto can hurt us oh!!
 
I just pray that by the time we play our last game vs Wolves we're at least 4 points clear at the top of the pile.

ninawaogopa zaidi Wolves kuliko Chelsea aisee. wale watoto can hurt us oh!!

Angalau kwamba tutakuwa nyumbani, na kama ushindi utakuwa unatu-favor ni lazima upatikane at any cost.

Kutaibuka atmosphere ya UEFA Night, refa atatupa hata penati ya uongo.
 
Yulikuwa tunapoteza sana mipira kati
Ila Hendo alivyoingia mpira ukastabilize kabisa
Nadhan ndo maana Klop anampesa sana jamaa kwa kustabilize na kumiliki ball posession
 

Kuwa specific bosi, ni wangapi unao washangaa?

Ni wangapi unaweza kuonesha hapa wameandika au kumsapoti aliyeandika?

Ni wangapi umeona wakitofautiana kwa kuambiana kauli za hivyo?
 
Hazard ana goli ngapi?
Sio suala ana goal ngapi mechi ijayo tunakutana na Chelsea halafu Keita afanye aliyofanya jana karibia na goal kupoteza maana inaweza isiwe Hazard kuna yule mtoto Odoi mpe tu mpira halafu tutasimuliana baadae.
 

Nadhani United tayari yupo out of Top Four sasa umebaki na Chelsea & Spurs kuwatoa katika Reli
 

Matip hapewi haki Yake anayostahiki
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…