Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,724
Juzi ulipobet arsenal anafungwa uliliwa bei ganUache dharau wew. Unajifanya kuisahau Man U...endelea
Juzi ulipobet arsenal anafungwa uliliwa bei gan
Kuna mwenzako Kenya kajinyonga,
Muachage dharau
Sent using Jamii Forums mobile app
Uache dharau wew. Unajifanya kuisahau Man U...endelea
Karibu hapa galsport riverside ubungo DSMYule wa kenya alipanic tu......hiyo mech sikufata kabsa
Sasa hicho kigenge chako kinachovizia Come back unadhani kinakwenda wapi?
Mkuu mi nipo Moshi ofisi za Gal sport ndy natembeleaga huko..cpo dar
Ok, ukikaribia dar karibu ,Mkuu mi nipo Moshi ofisi za Gal sport ndy natembeleaga huko..cpo dar
Mkuu mi nipo Moshi ofisi za Gal sport ndy natembeleaga huko..cpo dar
AhahahNa ndiyomana hata akili zako kwenye soccer zimejaa moshi (Joke)
Hahaaaaaaaaaaaa aki ku-quote tena nitaamini ule utafiti wa Twaweza kati ya watanzania 5 wa Tatu ni vichaaKwahiyo Katika hizo unazoziita Few Cases ndiyo Kina Mane, Salah na Firmino hawezi kuwa miongoni mwa few cases si ndiyo?
Hebu nibie kwa Mara ya Kwanza Man United kubeba EPL mwaka 1992 Ferguson alikuwa na Historian ya Kubeba Makombe Mangapi ya EPL?
Na Je Wachezaji wa Man United wa Kipindi hicho walikuwa wameshabeba Makombe Makubwa Mangapi hata wakaweza kubeba EPL?
Blackburn mwaka 1995?
Chelsea mwaka 2005?
Arsenal kwa Mara ya kwanza baada ya kuja Wenger?
Leicester City?
Deportivo La Coruna kubeba Laliga mwaka 2000 mbele ya Real na Barcelona?
Marseille kubeba CL mbele ya AC Milan ya Kina George Weah mwaka 1993?
Dortmund kubeba Bundes Liga mbele ya Bayern?
Je unahitaji mifano zaidi?
Mkuu kama huna data bora nyamaza kimya usiaibike!
Jifunze kuchambua mpira sio ueke hisia zako kuwa ndiyo principles!
Narudia tena! Nikiwa Nimekuekea Mifano hai kabisa hakuna Uhusiano wa Kubeba Makombe na kuto kubeba Makombe kuwa ndiyo kutawezesha uweze kubeba makombe.
Liverpool Haibebi Makombe kwa Ubovu wake tu lakini si Kwasababu wachezaji wake hawajawahi kubeba Makombe.
Kama ni Hivyo hata Siku moja OLYMPIC MARSEILLE amabayo haikuwahi kubeba Kombe kubwa hata moja isingebeba CHAMPION LEAGUE mwa 1993 kwa kumfunga AC MILAN iliyokwisha kubeba kila kitu.
Ukija njoo na Data sio uniquote kwa hisia.
Hahaaaaaaaaaaaa aki ku-quote tena nitaamini ule utafiti wa Twaweza kati ya watanzania 5 wa Tatu ni vichaa
Kwahiyo Katika hizo unazoziita Few Cases ndiyo Kina Mane, Salah na Firmino hawezi kuwa miongoni mwa few cases si ndiyo?
Hebu niambie kwa Mara ya Kwanza Man United kubeba EPL mwaka 1992 Ferguson alikuwa na Historia ya Kubeba Makombe Mangapi ya EPL?
Na Je Wachezaji wa Man United wa Kipindi hicho walikuwa wameshabeba Makombe Makubwa Mangapi hata wakaweza kubeba EPL?
Blackburn mwaka 1995?
Chelsea mwaka 2005?
Arsenal kwa Mara ya kwanza baada ya kuja Wenger?
Leicester City?
Deportivo La Coruna kubeba Laliga mwaka 2000 mbele ya Real na Barcelona?
Marseille kubeba CL mbele ya AC Milan ya Kina George Weah mwaka 1993?
Dortmund kubeba Bundes Liga mbele ya Bayern?
Je unahitaji mifano zaidi?
Mkuu kama huna data bora nyamaza kimya usiaibike!
Jifunze kuchambua mpira sio ueke hisia zako kuwa ndiyo principles!
Narudia tena! Nikiwa Nimekuekea Mifano hai kabisa hakuna Uhusiano wa Kubeba Makombe na kuto kubeba Makombe kuwa ndiyo kutawezesha uweze kubeba makombe.
Liverpool Haibebi Makombe kwa Ubovu wake tu lakini si Kwasababu wachezaji wake hawajawahi kubeba Makombe.
Kama ni Hivyo hata Siku moja OLYMPIC MARSEILLE amabayo haikuwahi kubeba Kombe kubwa hata moja isingebeba CHAMPION LEAGUE mwa 1993 kwa kumfunga AC MILAN iliyokwisha kubeba kila kitu.
Ukija njoo na Data sio uniquote kwa hisia.
Your mind can't see behind his argument. Hapo ndo utaelewa Twaweza walimaanisha nini?Hahaaaaaaaaaaaa aki ku-quote tena nitaamini ule utafiti wa Twaweza kati ya watanzania 5 wa Tatu ni vichaa
Atakuja tu huyu kama huamini subiri!!
Hapo haangalii tena hoja bali anachoangalia kwasasa ni kuto kukubali kuwa mekosea tu.
mr Liverpool komaa nao hao feki hawana nia njema wanataka Team ipate injuriesVijana wetu wanajitupa uwanjani muda si mrefu
Sisi Liverpool halisi tuwa support vijana wetu bila kuombea nani aumie asicheze kama wanavyo ombea feki Liverpool
Mkiwa na Mungu hamna wa kuwashinda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vijana wetu wanajitupa uwanjani muda si mrefu
Sisi Liverpool halisi tuwa support vijana wetu bila kuombea nani aumie asicheze kama wanavyo ombea feki Liverpool
Mkiwa na Mungu hamna wa kuwashinda