hahahaha mkuu kama midfield itakuwa ndo hiyo ile itaisha O-0matuta ya viazi au?
hahahaha mkuu kama midfield itakuwa ndo hiyo ile itaisha O-0matuta ya viazi au?
Maskini barafu, naona zinaenda kulaumiwa tena leo
Sent from my iPhone using JamiiForums
Counter attack watatufunga.Naamini kuna kam bak inakuja hapa tuwe na aman hawa burnley hamna kitu