Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Atakae fanya makosa Kati ya sis LFC au Man city kwa sasa basi atakuwa kampa mwenzake upenyo wa kunyenyua kwapa mwenzake


Salama yetu kwa sasa ni kuwin game zote zilizo baki na hili linawezekana
Kama mambo yafuatayo yatakaa sawa

1.tusipate injury kwa sasa
2.klopp afanye kitu cha maana ktk upangaji wa kikosi

3.wachezaji wawe na mentality ya kuwin trophy

Vikiwezekana hivyo hakuna namna EPL 2018/2019 ni yetu

#YNWA




Sent using Jamii Forums mobile app
Mentality ya Ku win kombe itatoka wap wakati first XI yote ya Liverpool haijawahi kubeba hata yale makombe ya mbuzi?

Mbaya zaidi Klopp huwa ni bingwa wa Ku loose mechi za mwisho..

Pia kushinda gemu zote icho ni kitu ambacho msitarajie..

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom