Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mda mwingine tunaweza hisi Klopp anafanya makosa ktk upangaji wa kikosi lakin kumbe wenyetimu na wenye mji na wenye nchi yao kiujumla ndio wanataka hivyo






Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa anatakiwa kupanga kikosi kulingana na anavyotaka yeye au wanavyotaka wenye timu?

One thing I have noted and am saying it here, Klopp isn't a decision maker.

Anaogopa kuchukua maamuzi magumu, kwa kuwaza akipoteza atasemwa.

Anapenda kujioendekeza, kwa hiyo anaona ni bora tufungwe tukiwa na wachezaji wanaopendwa na wanazi kwa sababu hatasemwa.

Kocha wa hivyo sahauni makombe. Ataishia kukumbatiana na wachezaji tu, na kutoa sababu za kijinga kila tunapokosa ushindi kwa sababu za uzembe wake.
 
Sasa anatakiwa kupanga kikosi kulingana na anavyotaka yeye au wanavyotaka wenye timu?

One thing I have noted and am saying it here, Klopp isn't a decision maker.

Anaogopa kuchukua maamuzi magumu, kwa kuwaza akipoteza atasemwa.

Anapenda kujioendekeza, kwa hiyo anaona ni bora tufungwe tukiwa na wachezaji wanaopendwa na wanazi kwa sababu hatasemwa.

Kocha wa hivyo sahauni makombe. Ataishia kukumbatiana na wachezaji tu, na kutoa sababu za kijinga kila tunapokosa ushindi kwa sababu za uzembe wake.
Nadhan mkuu swali umeniuliza na ukalijibu mwenyewe tyr tena vzr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa anatakiwa kupanga kikosi kulingana na anavyotaka yeye au wanavyotaka wenye timu?

One thing I have noted and am saying it here, Klopp isn't a decision maker.

Anaogopa kuchukua maamuzi magumu, kwa kuwaza akipoteza atasemwa.

Anapenda kujioendekeza, kwa hiyo anaona ni bora tufungwe tukiwa na wachezaji wanaopendwa na wanazi kwa sababu hatasemwa.

Kocha wa hivyo sahauni makombe. Ataishia kukumbatiana na wachezaji tu, na kutoa sababu za kijinga kila tunapokosa ushindi kwa sababu za uzembe wake.
Anajifanya atakaa Liverpool miaka yote atakuja kuondoka na aibu kubwa
 
Sasa anatakiwa kupanga kikosi kulingana na anavyotaka yeye au wanavyotaka wenye timu?

One thing I have noted and am saying it here, Klopp isn't a decision maker.

Anaogopa kuchukua maamuzi magumu, kwa kuwaza akipoteza atasemwa.

Anapenda kujioendekeza, kwa hiyo anaona ni bora tufungwe tukiwa na wachezaji wanaopendwa na wanazi kwa sababu hatasemwa.

Kocha wa hivyo sahauni makombe. Ataishia kukumbatiana na wachezaji tu, na kutoa sababu za kijinga kila tunapokosa ushindi kwa sababu za uzembe wake.
Na hii ndio naona weakness kubwa sana kwa JK

Najiuliza tu Brandy Rodger mbona aliweza kumwambia HENDO atafute timu yaan hamtaki na hali ya kuwa tungelibaki na mildifield ya kawaida sana (CAN,LALLANA,COUNTINHO,) sasa Y huyu klopp ana FAB,KEITA,GINI,MILLIE,OX, lkn bado anamkumbatia HENDO ??????

Hapa ndipo nakuja kusema JK bora amalize mkataba wake tu
Lkn kama atafumbua macho ktk hili pia sitochoka kumuita ni moja ya kocha mzuri ktk dunia



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dadeki! Hendo inside the pitch! Here we go....

Liverpool: Alisson, Alexander-Arnold, Matip, Van Dijk, Robertson, Fabinho, Wijnaldum, Henderson, Mane, Salah, Origi.

Subs: Mignolet, Milner, Keita, Firmino, Sturridge, Lallana, Shaqiri.
 
FABINHO defensive minded
GINI defensive minded
HENDO defensive minded


No attacking Midfielder (Keita or Xhaqiri) even single one...

I don't think If there will be any single key pass itakayokwenda kwa Salah or Mane from Mido.
 
Dadeki! Hendo inside the pitch! Here we go....

Liverpool: Alisson, Alexander-Arnold, Matip, Van Dijk, Robertson, Fabinho, Wijnaldum, Henderson, Mane, Salah, Origi.

Subs: Mignolet, Milner, Keita, Firmino, Sturridge, Lallana, Shaqiri.
Kwa haraka haraka mido ikizingua watakaofanyiwa Sub ni gini au fabinho na ataingia milner huyu mjukuu wa Hitler mie nishamzoea. But pamoja na yote hayo hope tutashinda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom