hahahah umenkumbusha mbali sana mkuu.. lile bonge linabutua butua andrea dossena na mwenzake Degen.. Hivi ni kocha gani aliwaletaHili Ndiyo Tatizo la Kizazi Cha Leo! Mtu anapoharibu Michezo 7 akafunga Mchezo 1 tu tunasahau ile saba kuwa yeye ni mchezaji wa Kawaida.
Tena hapa subiri utasikia tu watu wanasema "Firmino aekwe bench achezeshwe Origi" kisa tu Leo kafunga goli.
Wanasau kuwa Hata Dosena aliwafunga Manchester United na Real Madrid lakini alikuwa hafai na akauzwa.
Ww jamaa hiv chelsea nayo timu ya kuogopwa?Usiombe ukutane na Chelsea kwa sasa..
Yeyote anayekatiza mbele yetu huyo ni halali yetu..
Sent using Jamii Forums mobile app
ndugu kumpiga Spurs ushaanza vurugu, hongera maana haukua poa sanaa hivyo kushinda kutawarudisha kwenye mapambano ya nne bora...Usiombe ukutane na Chelsea kwa sasa..
Yeyote anayekatiza mbele yetu huyo ni halali yetu..
Sent using Jamii Forums mobile app
yes chief, currently ina kifafa because kwa uchezaji ule hatuwezi kushinda vs better and compact defences.Forwardline yetu ina kifafa... Yet ina score. Kwangu mimi bora kifafa kinachoscore kuliko kitu kizima lakini butu.
Ama kweli maendeleo hayana chama.
Yaan anaona kama sikukuu, wakat chelsea kwasasa maji kupwa maji kujaa,ndugu kumpiga Spurs ushaanza vurugu, hongera maana haukua poa sanaa hivyo kushinda kutawarudisha kwenye mapambano ya nne bora...
nakusubiri Anfield Fortress nichukue pointi tatu safi kabisaaaa...
Hawa wanatapatapa mara plan A mara plan B hawajielewi....Yaan anaona kama sikukuu, wakat chelsea kwasasa maji kupwa maji kujaa,
Subir game ijayo ,na waendelee kumuweka cabarelo,
Maana hao spurz hakuna asiyejua ni mbwembwe tu, jana hawajapiga on target hata moja,
Sent using Jamii Forums mobile app
sure kabisa, cha msingi ni kama wamechemka kutengeza nafasi au assist za kufunga basi wengine wame step up na wamefanya vyema..Pamoja na kushinda goli 5 viungo washumbuliaji bado ni tatizo, magoal yote yamepikwa na fullback, ushindi huu najua utatusaulisha udhaifu wa mido zetu.
Pamoja na kushinda goli 5 viungo washumbuliaji bado ni tatizo, magoal yote yamepikwa na fullback, ushindi huu najua utatusaulisha udhaifu wa mido zetu.
Haya huyu Matip ni underrated tu lakini kiukweli anacheza vizuri sana hasa kwenye kupandisha timu juu jamaa yupo vyema.
Lakini akipona Lovren basi ataekwa Bench na kuchezeshwa Lovren wakati Matip ni bora kuliko Lovren.
Muondoa papara ni klopp tuamini tu kua imeshindikana.an excellent piece of result created from the width. i have been yearning for this recently - that for deep sitting oppositions Klopp should set up the boys consistently whip in the balls from the flanks. they did that tonite and what a reward!
ila forwardline yetu bado ina kifafa. no clicking kabisa, papara nyingi mnoo, no robust link-up play tuliyoizoea and the final ball is very poor. Salah's touches especially have been very poor since the turn of the year. yaani our strength of last season is becoming our achilles heel this season - and at a very crucial stage imagine!
....so, you mean Klopp is a piece of shiite, right??Muondoa papara ni klopp tuamini tu kua imeshindikana.
Hivi kwa nini tukiambiwa Buvac ndo plan wake hatuamini na vielelezo vinaonyesha?
Keita angemkuta Buvac angefiti na Salah angeshakaribia goli 40
Kwahiyo waposawa na Origi hao?hahahah umenkumbusha mbali sana mkuu.. lile bonge linabutua butua andrea dossena na mwenzake Degen.. Hivi ni kocha gani aliwaleta