Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

drab show.

am very disappointed because today's Manure team was there for taking but we have passed up the opportunity which ManCity wouldn't have.

forward line yetu leo ilikuwa na kifafa cha wapi sijui!!
 
Nyie kuku kama nimeshindwa leo kutwaa hizi point 3 mhimu mnategemea nini ka UEFA Champions ndo mshaaga hivyo na hili mkabidhi kwa watoto wa mji nyie nguruwe pori kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni ufara wa hali ya juu Tazama hendo anavyojificha kwa maadui zake hali yakuwa yey ndio CM anatakiwa awachezeshe vijana sasa ile mildfield ya man u baada ya kutoka herera na kutokuwepo kwa matic bado mildfield zetu zikashindwa kufanya kitu kwa forwad zake duh

Ilikuwa haina haja ya kumsajili keita na kumpa mikoba ya SG8 maana game za muhimu kama hizi ndo zingemfaa kbs



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Top reds will try to find positivities kwenye hii game..

well, City would've wrapped this up ages ago, considering the United team iliyocheza leo

we wont win this league and we absolutely dont deserve to win it.

Klopp bottling yet another important game, which was there for the taking but i'm supposed to be positive about this.

actually, Brendan Rodgers was much braver at OT in 13/14 than our currently supposed world class manager.
 
Looserf666ls thanks for everything I think we have forget the say "You will NEVER walk alone!"

Salah was shit to watch
Milner is a joke
we relies on Firminho

its time now to remember 80's where the slogan was bae *** KLOP WIN THIS ITS NOT ONLY FOR THE FANS BUT FOR YOUR JOB FULL STOP…
 
Sijui kitu gani Klopp huwa anaona ambacho wengine hatukioni

Sent using Jamii Forums mobile app
i vouched for Hendo vs Citi akaja kuniangusha mbaya baada ya gemu ile siamini kama under his Captaincy il win anything....

mchezaj wa kawaida sanaaaa...

aibu Keita th technician kuwekwa benchi na huyu ndogo, very average player...
 
our manager and players are not winners i see no chance of us winning anything, mechi dhidi ya everton ndo itatushusha nafasi ya pili so sad and disappointed with our display today
 
IMG_4999.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom