Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 55,048
Ferguson kaondoka jana?Miaka ambayo utawala wa Liverpool unakomeshwa paliibuka na utawala mpya kutoka jiji la Manchester, Manchester United ya Ferguson worked hard for about 6 years mpaka kuondoa huu utawala, kutoka Ferguson aanze kubeba mataji ya EPL hakupata mpinzani hasa financially, huyu mzee alikuwa na economic power kubwa sana, utawala ulioiuzuia Liverpool miaka yote umetoweka
Kwa hiyo katika past season hakukuwepo na team bora ya kuizidi Manchester United ya Ferguson
Kwa hiyo Liverpool wana nafasi kubwa msimu kwa sababu aliyewanyima hayupo, lakini tumeona tangu Klopp aje Liverpool nao wamekuwa na uimara sokoni, hivyo kuwafanya kuwa moja ya team zenye nguvu kubwa kiuchumi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati Ferguson anaondoka Liverpool haikuwahi kuwa imara kama ya sisi, ilipitia hatua nyingi za kuyumba..ukiachana na 2013/2014 Liverpool haijawahi kuwa na team ya kupambania ubingwa kama msimu huu ambao wanaonekana angalau wanaweza kupambana na Manchester CityFerguson kaondoka jana?
Nafikiri hapa ndio kuna mtego baina ya mashabiki wa Liverpool na mashabiki wa mpira wa miguu Duniani?? Wataangusha points na kumpa City ubingwa au wata maintain na kutwaa ubingwa...hizi ni question mark ambazo watu wamekariri mno....tusubiri na kuona mpambano chiefHawachukui, differenc ya point 4 ndo ikupe matumaini hawa wanakuwaga vizuri ila wanapoteana mwishoni
Kwanini nyie hamjakamilika?Wakati Ferguson anaondoka Liverpool haikuwahi kuwa imara kama ya sisi, ilipitia hatua nyingi za kuyumba..ukiachana na 2013/2014 Liverpool haijawahi kuwa na team ya kupambania ubingwa kama msimu huu ambao wanaonekana angalau wanaweza kupambana na Manchester City
#So far Manchester City inabaki kuwa team iliyokamilika zaidi pale kwa malkia
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanatuacha qualitatively kwenye midfield, tunawaacha quantitatively...hili ndilo eneo ambalo Manchester City wapo ahead Liverpool...hata kwenye eneo la ushambuliaji nafikiri watu wa Manchester City wanaiacha Liverpool japo sio kwa kiasi kikubwa sana...mshambuliaji wa kati Salah anafanya vyema japo Khun Aguero anabaki kuwa specialist wa eneo hiliKwanini nyie hamjakamilika?
Hamna bahati?Wanatuacha qualitatively kwenye midfield, tunawaacha quantitatively...hili ndilo eneo ambalo Manchester City wapo ahead Liverpool...hata kwenye eneo la ushambuliaji nafikiri watu wa Manchester City wanaiacha Liverpool japo sio kwa kiasi kikubwa sana...mshambuliaji wa kati Salah anafanya vyema japo Khun Aguero anabaki kuwa specialist wa eneo hili
Ndio maana kuna sehemu nikasema ukitaka ubingwa unahitaji bahati pia hata kama una uwezo mzuri na team yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Famous Gerrad slip is some sort of being unlucky...Everton win and Crystal Palace win ndio bahati zenyewe ambazo zinahitajika...bahati mbili hizo ambazo ilibidi ziwe sare ndio zina maintain gap la pointi 4Hamna bahati?
Mnataka bahati au ubingwa?Famous Gerrad slip is some sort of being unlucky...Everton win and Crystal Palace win ndio bahati zenyewe ambazo zinahitajika...bahati mbili hizo ambazo ilibidi ziwe sare ndio zina maintain gap la pointi 4
Sent using Jamii Forums mobile app
LeBron James huwa playoffs zikianza anafunga mitandao yote kuziba kelele.
Na hata wenzake anawaambia wasimsimulie chochote watakachoona kumhusu.
Hakuna ubingwa mwaka huu.
Timo Werner or Steven Bergwijn?
Shida ipo kwenye uhakika unaoweka kwamba hakuna ubingwa...why being judgmental mkuu, nafikiri tuwe realistic zaidi na kuona kama atafanikiwa au la...hii ya kutoa hukumu mnatumia vigezo ganiHakuna ubingwa mwaka huu.
Unachukua ubingwa kwa vigezo gani ambavyo miaka 29 huna?Shida ipo kwenye uhakika unaoweka kwamba hakuna ubingwa...why being judgmental mkuu, nafikiri tuwe realistic zaidi na kuona kama atafanikiwa au la...hii ya kutoa hukumu mnatumia vigezo gani
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijachukua ubingwa ila naweza kusema better teams zilishinda miaka hiyo, hata this season ni may beUnachukua ubingwa kwa vigezo gani ambavyo miaka 29 huna?
Sijawahi vutiwa na Timo sijui kwanini, huyo dogo mwingine sijawahi muona ligi yao sifatiliagi sana
So to me both No