Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Katika 100 yupo mmoja. Do you think Liverpool will be one of them.? May be that is Ligue 1 and not EPL.

Tuna Challenge 3 tu zakuweza kuzifikiria kuhusu kutufunga Kwa sasa.

1) Man City (Etihad)
2) Man United (OT)
3) Everton (Godison)

Sasa hapo tukitoa sare tu na Man City basi test ya Everton nayo itashindwa kutufunga!
Hapo tutajiandaa Kwa Man United kwasababu ni NW Derby tuimalize hapo Kwa sare.
 
Yani Liverpool hii ifungwe na manure fc?
 
Yani Liverpool hii ifungwe na manure fc?

Mkuu inawezekana na wala si uchawi au hukubali?

Ni si Man United tu bali timu yoyote Katika 19 tunazocheza nazo inaweza kutufunga.

Kuna mambo mpaka sasa nimejizuilia nisije nikameza maneno yangu.

1) Siwezi kusema Msimu huu hatutofungwa na Timu yoyote au timu Fulani.

2) Siwezi kusema kuwa Msimu huu lazima tubebe Ubingwa kwani kuongoza Points 6 si kuwa hatuwezi kufikiwa au kupitwa.

Mpira unadunda.
 

Hakuna wakutufunga hapo.

Tena mwanzon tulikuwa tunakosea kwenye mido ya Gini, Milner Hendo.

Ila baada ya kuongezwa Fabby, Keita plus Shaqir, sahivi ni ushindi tu.
 

Tumenyanyasika sana ila safari hii inyeshe mvua au jua, Klopp hatatukabal kumalza msimu bila EPL.
 

Kwenye mashindano kitu cha kwanza ni kuacha kuwadharau wapinzani.

Guardiola post game interview vs Watford (2-1 win) aliongea kidharau sana kuhusu ushindi mdogo wa 2 - 1, akisema siyo ushindi wa kujisifu nao.

Kilichotokea, next 4 EPL games kapoteza 3 kashinda 1.

Sasa hivi anaulilia hata huo game inayofata.
 

Klopp aligundua hili ndo maana now days ukisikiliza press zake yuko selective sana na maneno anayoongea
 
Mmeanza kukubali mapemaaa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…