Tofautisha tetesi za mawakala na magazeti na ofa official manchester united hawakuwahi kupeleka ofa oficial kwenda monaco hata bakayoko aliongeleaa kama anatakiwa na united je ofa ilipelekwa?Fabinho hajui sahivi kwa sababubu aliwakataa akaja kwetu au
Hilo goli alilofunga Mane unaombea mkopo bank, hiyo assist ya Fabinho unalipia mahari kwa yule binti wa Mourinho!
Kuna mtu pale mido siku zake zinahesabika
Scared about the alienbut I pray to meet Barca need to pay for that little bastard magician. Give em' L with a shame
- Salah (200)
- VVD (190)
- Fabinho (130)
- Andy R ...........
Liverpool FC vs Bayern Munchen
Yes looks fine sanaa tu fainali ileeeLooks fine to me.
Spot on Klopp, sababu kubwa ya kumpanga Fabihno alijuwa anaweza kupiga penetration pass sio kwamba Ender mbaya ila hana pass za kukata. na Jana ndio Fab alichofanya. Good perfomance. Keita he need season speed ya EPL kidogo inampa shida lakini atakaa vizuri tu.Kwakweli hadi fabihno anajitawala pale katikati, hahaaaa
Hahahahahha, huyu Madrid mm nilikuwa na hamu naye sana tunilikua natamani real madrid au beyern..thanks God YNWA