AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,050
Kwamba arsenal watafungwa?
Ulikuja emirates kwa kutamba,
Kilichotokea uliomba mpira uishe
Endelea kukariri, soon unatoka hapo juu, unarud nafas zako
Na napoli anakuja kukupeleka futuhi
FA huendi popote,
Mnamaliza TEOPHILESS mnakufaaaa
Bado ila soon wanamtajaBallon bado?
Huyo ni kichaaTeam yako ina points ngapi EPL?
Let's wait for bitches categoriesMohamed Salah has been named Men's Player of the Year at the 2018 Football Supporters' Federation Awards
Endelea kupiga ramli tu! Wale jamaa mmezoea kuwauzia wanawaita OT hapo J5, baada ya hapo nafikiri utakua kwenye nafasi yenu sahihiKwamba arsenal watafungwa?
Ulikuja emirates kwa kutamba,
Kilichotokea uliomba mpira uishe
Endelea kukariri, soon unatoka hapo juu, unarud nafas zako
Na napoli anakuja kukupeleka futuhi
FA huendi popote,
Mnamaliza TEOPHILESS mnakufaaaa
Liverpool We have been drawn to face Wolves away from home in the third round of the EmiratesFACup.
Ulianza mwezi Septembe,ukaja October,ukaisha November sasa ni Dec nao utaisha!Soon mnaporomoka hapo juu,
Naona wale echo wanapiga debe firmino aanzie benchi na badala yake aanze sturidge
Apumzike kidgo angalau mechi mbili hivi. huyupo kwenye form sasaivi lbda huenda ni uchovu
Kwanini Mane hachezi kesho? Kuna shida gani?Kumpunzika huku ndio chanzo cha kudrop points.
Kesho Mane hachez, basi Salah na firmino waanze ili angalau wakishapiga magoli na uhakika wa 3 points ndo sub ifanyike
NI VEMA UNGELIKWENDA KUMWAMBIA BABA YAKO HAYA MANENO NAHISI YANGELIMSAIDIA SANANimeona bold, it
Nimeona bold, italic, underline, blue, red, capital, etc.
That speaks volumes
Mental.health issues are a serious matter in our country
I hope the good Lord brings some sense and wisdom in you
We don't want to have parents like you in the future
I pity you and feel ashamed that we have such sick people like you
Get well soon
Ooh LordNI VEMA UNGELIKWENDA KUMWAMBIA BABA YAKO HAYA MANENO NAHISI YANGELIMSAIDIA SANA
Kwanini Mane hachezi kesho? Kuna shida gani?