SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,803
- 25,449
Nyie Arsenal mmeekwa kwenye kundi gani na timu kubwa hapo UEFA?Hivi wewe hata top 4 kwako si ulikuwa msala? Wewe ulikuwa unagombania kwenda ueropa, napo ukakutana na UNAI akawanyoosha,
Hivi hujui liva ilishakuwa timu ndogo maana ilishindwa hata kwenda europa ,mpaka alipokuja klopp?
Je unajua mpaka UEFA walishawaweka kundi la timu ndogo mpaka leo?
Je unajua mpaka sasa rank za UEFA Arsenal yupo juu ya liver?
Toka mwaka 1990 hulijui kombe la ligi,Kwenye kundi la UEFA wewe wangapi? Ilishakuwa timu ndogo mpaka Klopp alipokuja then at the same time unasema hajafanya kitu, na ilipokuwa timu ndogo.ukaizidi kombe gani mpaka sasa wewe timu kubwa ya muda wote?
Kwann Arsenal ilienda Europa?Toka mwaka 1990 hulijui kombe la ligi,
Toka 2011 hujui kombe lolote
Umesteuggle kuipata nafas ya europa kumbuka ulikuwa unamaliza nafas ya 7, ukasahaulika kwenye ulimwengu wa soka,
Ndio maana UEFA wakaku rank chini, na mpaka sasa Unawekwa pot 3 ,
Atsenal imeenda ueropa bas unaona kama.imepotea ,umesahau liva hata kucheza europa ilikuwa ngumu,?
Hiyo arsenal unayoiona imepotea bado imeendelea kucheza na domestic cup, 3 FA CUPS, 3 COMMUNITY SHIELDS,
Community shields na FA [emoji23] [emoji23]Toka mwaka 1990 hulijui kombe la ligi,
Toka 2011 hujui kombe lolote
Umesteuggle kuipata nafas ya europa kumbuka ulikuwa unamaliza nafas ya 7, ukasahaulika kwenye ulimwengu wa soka,
Ndio maana UEFA wakaku rank chini, na mpaka sasa Unawekwa pot 3 ,
Atsenal imeenda ueropa bas unaona kama.imepotea ,umesahau liva hata kucheza europa ilikuwa ngumu,?
Hiyo arsenal unayoiona imepotea bado imeendelea kucheza na domestic cup, 3 FA CUPS, 3 COMMUNITY SHIELDS,
Kwahiyo ilikosa hiyo nafas kama liverpool?ndio maana nimesema wewe mpira huujuiKwann Arsenal ilienda Europa?
*KLOPP AT LIVERPOOL*Community shields na FA [emoji23] [emoji23]
Kwan baba ligi iliamza mwaka 90? Wew haukuwepo huko nyuma na ww ukashinda? Haukuwapo na ww ukashinda champions League?Toka mwaka 1990 hulijui kombe la ligi,
Toka 2011 hujui kombe lolote
Umesteuggle kuipata nafas ya europa kumbuka ulikuwa unamaliza nafas ya 7, ukasahaulika kwenye ulimwengu wa soka,
Ndio maana UEFA wakaku rank chini, na mpaka sasa Unawekwa pot 3 ,
Atsenal imeenda ueropa bas unaona kama.imepotea ,umesahau liva hata kucheza europa ilikuwa ngumu,?
Hiyo arsenal unayoiona imepotea bado imeendelea kucheza na domestic cup, 3 FA CUPS, 3 COMMUNITY SHIELDS,
Hizo ni Honours zinawekwa meusem ,Community shields na FA [emoji23] [emoji23]
Bablai, ebu taja ulichomzidi Liverpool. Title gani yani umemzidi idadi kabatini?Hizo ni Honours zinawekwa meusem ,
Wewe toka 2011 umeweka nini kabatini?
Kuwafunga timu kubwa?
*KLOPP AT LIVERPOOL*Bablai, ebu taja ulichomzidi Liverpool. Title gani yani umemzidi idadi kabatini?
Ebu katazame the successful English clubs, Arsenal ipo wapi na Liver ipo wapi? Na successfulness hupimwa na nn?Hizo ni Honours zinawekwa meusem ,
Wewe toka 2011 umeweka nini kabatini?
Kuwafunga timu kubwa?
Jibu swali. Taja kombe ulilomzidi Liver.*KLOPP AT LIVERPOOL*
3 years at Merseyside
Money spent = £672M
Trophies [emoji471] = 0
Hugs [emoji847] =18000
Total pressing = 21000
Touchline antics=3400
Unnecessary laughter[emoji16]= 4543
Toothpaste use=150
Spectacles broken=10[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1739][emoji1739]
Unaleta historia ?Ebu katazame the successful English clubs, Arsenal ipo wapi na Liver ipo wapi? Na successfulness hupimwa na nn?
Historia ilizuka ama ilijengwa? Arsenal haikuwepo kwani
Umeanza kuleta historia tena?Historia ilizuka ama ilijengwa? Arsenal haikuwepo kwani
Successfulness ya timu hupimwa na idadi ya makombe iliyoshinda. Leta takwimu hapa umeshinda makombe mangap na Liver kashinda mangapi.
Mzee baba, liver imeshinda UEFA league lini? Na ww umeshinda mara ya mwisho lin?Umeanza kuleta historia tena?
Hahaaaaaaaaaaaaaaaaaa
3 years ago today, Liverpool FC named Jurgen Klopp as their new manager.
Since then:
*2015/16: UEFA Europa League runner-up.*
*2017/18: UEFA Champions League runner-up.*
*Carabao Cup Runner up,, we can call him Mr Runner up.*
[emoji1547][emoji1547][emoji1547][emoji1547] JK wa 3
Mbona unakimbia hoja ?Successfulness ya timu hupimwa na idadi ya makombe iliyoshinda. Leta takwimu hapa umeshinda makombe mangap na Liver kashinda mangapi.
HahahaaMzee baba, liver imeshinda UEFA league lini? Na ww umeshinda mara ya mwisho lin?
Baba, kati ya ww na Liver nani kashinda UEFA league recently? Nayo ni zaman ya bibi?Mbona unakimbia hoja ?
Mimi nitakwambia leta taji la dhahabu kama...hili ambalo FA waliwatunuku araenal
View attachment 892493