SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,803
- 25,449
Baba kwan tulioanza nao league ni wakubwa? Habari yao unayo, walikula ngapi ngapi?Wewe unakomaa kwa wakubwa, mwisho wa siku unaanza kugombania top 4 ,
Huyo man city amenipiga ,now kaniacha point 2 ,
Kwahiyo usidhan ubingwa lazima nishinde big game zote,
Ubingwa ni mahesabu kama haya kupiga hawa watoto, wakubwa ni target tu,
Wewe hujiuliz why liva anakomaa kukaza kwa wakubwa lkn mwisho anaanza kuwa na mashaka na kupata hata top 4?
Hao unaowaona wabovu ndio wanaokunyimaga ubingwa toka mwaka 1990,Usijiongopee mkuu, hauna timu ya kuchukua msimu huu. Ndo tatizo ya kufungafunga vibonde, ukishapiga vinne wajiona league yako. Na kwa taarifa yako Liver haijapoteza mechi yoyote ya league. Imefanikiwa kutoa draw na chelsea na Man city, so you expect ikazuiwe na Arsenal au Fulham?
Mzee baba, ebu jikazeni huko EUROPA.Bas ubingwa utachukua wewe,
Maana unaungojea toka mwaka 1990
He is funny.Nyie si mna miaka kumi na tano sijui kama sisi, Arsenal anaweza mcheka Tottenham au Man City na sio Liverpool kijana
Arsenal kumcheka Liverpool kwenye mataji ya EPL ni kama walala hoi wawili mmoja ana buku mbili na vimiamia akamcheka mwenye buku na vimiamia mfukoni
Unazungumzia kutokupoteza ,hata chelsea hajapoteza, wewe ni swala la muda, tu kwasasa Fab3 yako imeshachuja, inamaliza mech na shut on target 0-2Usijiongopee mkuu, hauna timu ya kuchukua msimu huu. Ndo tatizo ya kufungafunga vibonde, ukishapiga vinne wajiona league yako. Na kwa taarifa yako Liver haijapoteza mechi yoyote ya league. Imefanikiwa kutoa draw na chelsea na Man city, so you expect ikazuiwe na Arsenal au Fulham?
Wewe utamfunga?Hawez mfunga Manchester huyu.
Mbona hakubadilika kwa city na chelsea? [emoji23][emoji23]Wewe man u mtabe wako mmeshakutana naye?
Usiongee kishabik, man u ukitoa msimu uliopita, nyuma nilimpiga 3-0 ,wewe sikumbuk ulimfunga lini
Unamuongelea salah huyu aliyeflop?
Salah mwaka jana ilikuwa suprise package,
Huyu wasasa ndio salah mwenyewe, yule wa roma tunayemjua ,
Wewe unadhan ligi ni maandaz, hujiuliz uliniacha point 6, sasa hiv zimebaki mbili,
Na gar lishakata breki,
Hii arsenal ya Unai sio ya wenger
Nakumbuka Unai kila game anabadilika na anajua kuwasoma wapinzani,
Kumbuka klopp alichofanywa na UNAI fainal ya Ueropa , Alivyobadilikiwa
UNAI alibadilika kwa PSG na Barca, akala ngapiWewe man u mtabe wako mmeshakutana naye?
Usiongee kishabik, man u ukitoa msimu uliopita, nyuma nilimpiga 3-0 ,wewe sikumbuk ulimfunga lini
Unamuongelea salah huyu aliyeflop?
Salah mwaka jana ilikuwa suprise package,
Huyu wasasa ndio salah mwenyewe, yule wa roma tunayemjua ,
Wewe unadhan ligi ni maandaz, hujiuliz uliniacha point 6, sasa hiv zimebaki mbili,
Na gar lishakata breki,
Hii arsenal ya Unai sio ya wenger
Nakumbuka Unai kila game anabadilika na anajua kuwasoma wapinzani,
Kumbuka klopp alichofanywa na UNAI fainal ya Ueropa , Alivyobadilikiwa
Soon utaibukia europa, Napol hawez kukuacha salama,the same ukienda kwa psgMzee baba, ebu jikazeni huko EUROPA.
Mechi ngumu ipi mzee baba? Si ukapoteza zote? Liver si kadraw na wakubwa vibonde kawapiga ama nn?Hao unaowaona wabovu ndio wanaokunyimaga ubingwa toka mwaka 1990,
Arsenal kacheza mech ngumu, lakin now anakupumulia point 2,
Muulize klopp fainal aliwafanya nnMbona hakubadilika kwa city na chelsea? [emoji23][emoji23]
Ngoja uone mzee. Yani atushindwe chelsea na city akatuweze manchester?Wewe utamfunga?
Nakupumulia point 2, sasa wewe ubingwa wako ni kuwafunga wakubwa?Mechi ngumu ipi mzee baba? Si ukapoteza zote? Liver si kadraw na wakubwa vibonde kawapiga ama nn?
Ulimfunga linNgoja uone mzee. Yani atushindwe chelsea na city akatuweze manchester?
Baba si tunaongelea msimu huu au? Tukirudi nyuma ulikulaga nane.Ulimfunga lin
Haya. Akaiweka arsenalNaanza kuamin kwann Neymar aliitoa nje ya top 4 liva
Hawez mfunga Manchester huyu.
Bas wewe ni shehe yahya, kumbe utamfunga man u ,mm man u nishampiga 8-2 mwaka 1930s ,Baba si tunaongelea msimu huu au? Tukirudi nyuma ulikulaga nane.
Forward yako nzuri ina magoli mangapi kulinganisha na ya arsenal mpaka sasa?Kwenye timu yao ninawakubali wachezaji watatu tu: Matteo Gouendouzzi, Ozil na Ramsey
Ukiacha hao Arsenal wana Beki mbovu, Forward mbovu walau kwenye kiungo wapo vizuri