Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 16,025
- 27,365
Mkuu leo umeniona nimeleta msg kuwa mnafungwa.? Naiomba hiyo comment hapa. Sijaingia jukwaa la michezo siku nzima.Mushaanza Kubadilisha Gia angani sio?
Kwani Mbape na Neymar mulionadia Watatufunga 3 hawamo?
The better Liverpool back line. Huyu VVD anahitaji watu strong sana. Leo naona mnajitahidi majogoo.
Mkuu mimi nimesifia back line sijasema ndiyo bora. Hayo mengine unaongeza wewe. Nazisubiri hizo mechi kwa hamu sanaNilisema Mwanzo iko Siku Mashabiki Wa Chelsea Watakuja Kukiri Kuwa Beck Line Ya Liverpool ndiyo Beki imara Zaidi Kwa Timu Za Kiengereza hatimae unaanza Kukubali.
Kinachomkuta Neymar na Mbappe Leo Kisubiri Kwa Hazard na Goroud Wako.
Mkuu leo umeniona nimeleta msg kuwa mnafungwa.? Naiomba hiyo comment hapa. Sijaingia jukwaa la michezo siku nzima.
Its OK. Ngoja nirudi naona kipindi cha pili kimeanza halafu nastream live. Tukutane baadae.NimekuQuote Kimakosa Sorry! Hukusema Wewe Bali Kuna Fanboys Wenzako Wa Chelsea Ndiyo Waliosema.
Mkuu habariIts OK. Ngoja nirudi naona kipindi cha pili kimeanza halafu nastream live. Tukutane baadae.
Utakunya mzee babaCome on PSG..
Hakika nimeliona goli la Mbappe...Niko safarini ila naamini nitafika in time kuona goli la kinda Mbappe.