SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,923
Man City kabanwa ugenini. Pamoja na kuongezwa dkk 5 ambazo Ollachuga anasemaga. Hongera Wolves the game is over.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hivyo ni mapema sana kusema hivyo kwa sababu kwanza wote ndo wameingia EPL msimu huu ..hata hivyo hakukuwa na haja ya kumnunua Uyu Allison wakati Klopp anasifika kwa kuwajenga wachezaji. Sasa kwann alishindwa kumjengea komfidensi ya kutosha Karius? akakimbilia kumnunua kipa mwingine kwa gharama kubwa tu!
Ukiangalia takwimu tu ndgo kati ya Allison na Karius hawajapishana sana, hivyo hakukuwa na haja ya kumnunua huyu Allison. Klopp angeweza kumjenga tu Karius na kumwaminisha kwa nyie mashabiki.
View attachment 846668
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado Brighton waifanye kazi yao baadae
Tutaheshimiana tu
E&K
Game played is almost 2 times than Karlius.Hata hivyo ni mapema sana kusema hivyo kwa sababu kwanza wote ndo wameingia EPL msimu huu ..hata hivyo hakukuwa na haja ya kumnunua Uyu Allison wakati Klopp anasifika kwa kuwajenga wachezaji. Sasa kwann alishindwa kumjengea komfidensi ya kutosha Karius? akakimbilia kumnunua kipa mwingine kwa gharama kubwa tu!
Ukiangalia takwimu tu ndgo kati ya Allison na Karius hawajapishana sana, hivyo hakukuwa na haja ya kumnunua huyu Allison. Klopp angeweza kumjenga tu Karius na kumwaminisha kwa nyie mashabiki.
View attachment 846668
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3] [emoji3] mi sitaki Brighton wakufunge hata sare tu inatoshaNi bora tu uwe Neutral Kwa Leo na Wala usikalie Ukungwi Kuwa BHA watamfunga Liverpool FC ili baada ya Mchezo usijeukimbia huu Uzi badala Yake uje na Usema "Nilijua tu Kuwa BHA watafungwa".
Halafu Hivi umeshajiangalia Kuwa Kesho Una Kisiki Cha Mpingo Rafa Benitez tena ugenini?
Nakuhakikishia Umepona basi utaambulia Sare.
Ligi bado ndio. Ukipitwa points 2 na mshindani inakupa kazi kubwa.Ligi bado kuna 36 games for Man City. I still bet on them. The title is for Guardiola to lose
Ligi bado ndio. Ukipitwa points 2 na mshindani inakupa kazi kubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
OK. Liver amfunge huyo mvuta ugoro. Kisha amuonee man city tena.Atazilipa kwa kufunga babu mvuta ugoro wa darajani
[emoji3] [emoji3] mi sitaki Brighton wakufunge hata sare tu inatosha
E&K
King Ngwaba umepunja goli bwana, ni 5, Mane anaweza akaondoka na mpira, au mwingine yeyoteMimi Nilidhani Utaomba Nisimfunge Nyingi Bali Nimpige Kama 3 tu zinatosha!! Kumbe wewe unataka Nitowe Sare??
Hilo haliwezekani Mkuu! Nitamuachia 4 zake akapumulie Kwa Manure kule.
Haya maneno usije kuyakanusha baadaeMimi Nilidhani Utaomba Nisimfunge Nyingi Bali Nimpige Kama 3 tu zinatosha!! Kumbe wewe unataka Nitowe Sare??
Hilo haliwezekani Mkuu! Nitamuachia 4 zake akapumulie Kwa Manure kule.
Haya maneno usije kuyakanusha baadae
Leo ni siku ya mbio za sakafuni huishia ukingoni
E&K
Haya maneno usije kuyakanusha baadae
Leo ni siku ya mbio za sakafuni huishia ukingoni
E&K
Naona leo siku nzima umepiga kambi hapa. Kule kwenu uzi mzima leo ulikuwa peke yako na comment ya mwisho ilikuwa yako toka saa 4 asubuhi na hakuna watu.
Anyways, karibu sana hapa The Kop
Leo ninaziona Waziwazi hizi [emoji460]️ [emoji460]️ [emoji460]️ [emoji460]️