Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

hahaha....noma!!
 
Huyu ndezi wa kichaga eden kimario anaropoka tu anafikiri mpira ni mbege unatikisa tu na kupulizia
 
Asante king... kwa kunielewesha shukuran sana kwako
 
Nazani Tite ameshayaona Makosa Yake Kumchezesha Mchezaji Mechi (G. Jesus) Zote walizocheza World Cup Bila Ya Kufunga goli Hata Moja ambalo liwe japo la Offside wakati Mchezaji (Firmino) Mwenye Uwezo Wa Kufunga na Offer mambo mengi Zaidi Amemueka Benchi.

Sasa Ameamua Kumuacha Jesus Nje Kwenye Kikosi Chake Alichokitangaza na Kumfanya Firmino Kuwa Ndiye Striker wake Rasmi.


Goalkeepers: Allison (Liverpool), Neto (Valencia), Hugo (Flamengo).

Centre-backs: Dede (Cruzeiro), Marquinhos (PSG ), Thiago Silva (PSG), Felipe (Porto).

Full-backs: Alex Sandro (Juventus ), Flipe Luis (Atletico Madrid), Fabinho (Liverpool), Fagner (Corinthians).

Midfielders: Andreas Pereira (Manchester United), Fred (Manchester United), Arthur (Barcelona), Pilippe Coutinho (Barcelona), Renato Augusto (Beijing Guoan), Casemiro (Real Madrid), Lucas Paqueta (Flamengo).

Forwards: Douglas Costa (Juventus), Everton (Gremio), Roberto Firmino (Liverpool), Neymar (PSG), Pedro (Fluminense), Willian (Chelsea).
 
Waloweka neno" Prediction" walifanya hivyo kuunogesha mchezo.
Hata wale wachambuzi hubashiri kunogesha.
Football ni zaidi ya burudani. Team ikifungwa magoli 20 dkk 45 za kwanza mashabiki wataondoka. Lakini basket ball hata vikapu 100 mashabiki watashangilia
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…