Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Uwe na akiba ya maneno usiongee yote ukajashindwa kurudi hapa.
 
Muwe na akiba ya maneno hizi mbwembwe zingine hatari kipa wa chelsea peter katoka bora kule kaenda arsenal hata kudaka penati hawezi.
 
Wewe sio shabiki wa LFC,sisi tukifanya vibaya ndo furaha yako

Nadhani ungetumia muda huu kufurahi kuliko kujifanya unatupenda sana na kutuhurumia
Kwani hata mkifanya vizur kuna kitu wewe unapata? Kuna pesa yako pale
 
Alison Ni Bora Kuliko Karius! Lakini Alison Mimi bado hajaniconvince kuwa Ni Kipa Mzuri.
Alison Ni Kipa Wa Kawaida tu Na Wala Hana Kiwango Cha Kusolve Matatizo Yetu.
Kaka hata Man City walimleta Bravo shinda zao hazikuisha so tuwe wavumilivu mapema mwezi ujao ligi inaanza na mpaka tunafika nusu wa msimu tutakua tumeona tumepata au tumekosa...YNWA
 
Allison and Fekir will win us trophies in the long run.

we're building a very strong team.
N one more defender and we are good to go...not sure of Gomez/ Matip/Lovren thier consistency for 100% perfomance til 2019 May is in check...
The gaffer has to watch that area with caution, VVD has made us better but still not to the level of winning the EPL new season....we need a unit to do so not single briliance
 
Sipati faida yeyote kiuchumi,sanasana ni burudani na furaha tu!

Hali kama hiyo huwa naipata pia pale Manchester United wanapofanya vibaya
Basi una matatizo kitu kisichoungana hata na sehemu ya mwili wako ukapate raha au huzuni ni maajabu

Toka mwaka 1992 hadi sasa mwili wako umejaa makovu na vidonda vya funza mara ya mwisho manchester united kushinda makombe ya hovyo 2016/17 liverpool 2009 carabao nafikir ubongo upo nusu kwa maumivu.
 
Sipati faida yeyote kiuchumi,sanasana ni burudani na furaha tu!

Hali kama hiyo huwa naipata pia pale Manchester United wanapofanya vibaya
Halafu mi kitu ambacho Mungu kanibaliki ni kuwa na roho ya upendo msimu uliopita nimefunga kula na kunywa walau mchukue kombe la epl muwe sawa na chelsea,man city,arsenal,blackburn na leicester city

Muingie ktk rekod za timu zilizobeba epl tangu mfumo ulipobadilika 1992 mkifa walau kuna kitu mmekiona lakin nyie mnamuwazia tajiri aanguke ili upate pesa zake fanya kazi bwana mdogo ili uwe na ww tajir dua la kuku haliwezi kumfanya dangote afilisike.
 


Welcome to the gang! I can imagine what it feels like. We at [HASHTAG]#LFC[/HASHTAG] have said this for 27 years now. [HASHTAG]#ManUtd[/HASHTAG] fans had a good laugh at us. And now, for 5 yrs we seem to be in the same boat. Our 27 was aslo 5 once, you'll find out soon. [HASHTAG]#YNWA[/HASHTAG]
 
27 ni sawa na 5 hahahhaha huu utani sasa ok tufanye tupo sawa sasa lini epl utabeba na wewe uingie kwenye rekod achana na makombe ya division 1 huko?
 
27 ni sawa na 5 hahahhaha huu utani sasa ok tufanye tupo sawa sasa lini epl utabeba na wewe uingie kwenye rekod achana na makombe ya division 1 huko?


Mkuu Unaweza Ukadhani Kama Utani Lakini Kumbuka Kuwa 27 ilianza na 1.
Nyinyi Tayari Mumeshahama Kwenye 1 mpaka Sasa Mumeshafika Kwenye 5 na Mara hii Munaingia 6.
Soon waweza jikuta unaingia 10,11,12 mpaka 27.
Hata Arsenal baada ya 2004 (Invincible), Miaka 5 ya mwanzo walidhani Ni Kipindi cha Mpito.
Sasahivi Tayari Wanaingia Mwaka Wa 15 yani (2019) na Tayari wameshagundua Kuwa sio Kipindi cha Mpito (Transitional Period) Bali Ni Hatima yao (Destination).

Kwahiyo na nyinyi wekeni Hakiba Ya Maneno Wewe Upo Kimara Mimi Nipo Mlandizi Lakini Sote Tunaelekea Chalinze.
 
Ok ngoja tuweke akiba ya maneno ushauri wako ni mzuri pia.
 
Katika Kipindi cha Roy Hodgson era Timu ya Liverpool First XI ilikuwa Ni hii:

Reina
G Johnson
Konchesky
Carra
Kyrgiakos/Skrtel
Gerrard
Cole
Maxi
Lucas
Torres
Ngog


Katika Kikosi Hicho Ni Wachezaji Wawili tu Gerrard na Torres Ndiyo wanaweza Kuanza Kwenye Kikosi Hichi Cha Sasahivi.

Ni Wazi Kuwa [HASHTAG]#FSG[/HASHTAG] kumpa [HASHTAG]#Klopp[/HASHTAG] Hela Za usajili basi Wameamua Kufanya Mabadiliko Makubwa tu! Nilikuwa nikiwachukia Sana Hawa [HASHTAG]#FSG[/HASHTAG] Lakini Kwa Sasa Sina Cha Kuwalaumu.

Kilichobakia Klopp Amlete Fekir au Mbadala Wake na CB mmoja Tuanze Kujihesabu Angalau Tuna Timu Ya Upinzani.
 
Danny Ward huyo kwenda em Fox for 10m£ in Klopp we trust...
I hope wataweka na buy back clause maana he is a promising young lad with lots of potential.
Hapa all the dead woods waodoke tubaki na quality players only na pengine kusajili
I expect Ings, Markovic, Sturidge, Moreno n.k waodoke to give us some needed cash ya kuleta quality players in all fronts
YNWA
 


Mara Nyingi Migno & Karius Wanapofanya Makosa Utasikia Wanapewa Second Chance! Lakini Kiukweli Danny Ward Ni Kipa ambaye ameoneshwa Exit door without ever being given a chance to prove himself Jambo ambalo Unaweza Kutia Huenda akaja Akaboreka Huko Lesta ikawa Ni Bargain Kwao Ni sisi tuka ended up ku-regret.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…