Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,505
- 7,465
Kwan Fekir raia wa wap???...umevurugwa nn
Fekir ni mfaransa, we ulikuwa unajua ni raia wa wapi?
Kwan Fekir raia wa wap???...umevurugwa nn
Martial kakifanya nini epl,au hujui hata kama huyu jamaa anasugua benchi huko united?Alaa, Fekir ni raia wa wapi?
Eredivisie ina ushindani kuliko Ligue 1?
Vipi kuhusu Antony Martial?
Wewe umenielewa VYEMA....Kwavile umesema Kuwa Ni 90% tu ndiyo Wanakuwa Ovyo! Basi Sina Comment yoyote Juu Ya Haya uliyoyaandika Coz Hizo 10% zilizobakia tutadepend on it.
Sasa mbona ulichomwambia dully pale juu haviendani...au sahivi ndo umejua kuwa ni mfaransa..Fekir ni mfaransa, we ulikuwa unajua ni raia wa wapi?
Martial kakifanya nini epl,au hujui hata kama huyu jamaa anasugua benchi huko united?
Sasa mbona ulichomwambia dully pale juu haviendani...au sahivi ndo umejua kuwa ni mfaransa..
Coutinho tayari ana La liga,Philippe Coutinho
sold for £142M
Nabil Fekir (£52M),
Fabinho (£43.7M)
Naby Keita (£52.75M)
bought for £148.45M
![]()
Refer post uliyomjibu bhana..Nilimwambia nini?
Can wamekuwa confirmed kuwa ataondoka mkataba wake ukiisha mwisho wa mwezi huu. Pia Flanagan naye ataondoka.View attachment 797878
Refer post uliyomjibu bhana..
Nakuuliza halafu huwi specific bwana!
Haya bhana tuachane na hayoGharama inashuka na atatangazwa leo baada ya kufungwa stock market ya france itakua mida ya saa mbili usiku nadhaniHiyo knee issue kumbe ni jamaa alipata injury miaka mitatu iliyopita kwenye international sasa kwa nini wasimkubalie sababu sidhani kama ni tatizo ambalo halina mwarobaini au tatizo lipo kwenye hiyo issue versus bei?
Gharama inashuka na atatangazwa leo baada ya kufungwa stock market ya france itakua mida ya saa mbili usiku nadhani
Hiyo knee issue kumbe ni jamaa alipata injury miaka mitatu iliyopita kwenye international sasa kwa nini wasimkubalie sababu sidhani kama ni tatizo ambalo halina mwarobaini au tatizo lipo kwenye hiyo issue versus bei?
sasa hivi wewe hata mechi unaziangaliaga kweli wewe,kwahiyo PIERRE EMERICK AUBAMEYANG,ERRICKSEN,DELLE ALLI,HARRY KANE,WILLIAN N.K wapo chini ya huyo MARTIAL?Martial utamuweka rank sawa na nani ukiachana na Hazard kwenye Vilabu ifuatavyo: Arsenal, Chelsea, Tottenham ???