Tissaphernes
JF-Expert Member
- Mar 27, 2018
- 2,902
- 3,571
Fainali sio bahati, ni mbinu,
Madrid alivokua kaanza slow aliwapa matumaini liva wakati huo liva alikua anataka kumaliza game mapema.
Mkubwa ni mkubwa tu[emoji23][emoji23]
Kuumia sio sababu sema ufinyu wa kikosi salah atakuwepo milele pale?
Anatoka isco anaingia bale anatoka benzema anaingia asensio pia hata kama liverpool wangetimia bado pumzi ingekata tu zizou angekuwa na option nyingi mno wakat klopp alikuwa na lalana tu bench can katoka majeruh wajuz hatukutia neno hapa tulijua liverpool anaumia ukiacha mkos wa kocha mech za final
Timu za england zinahitaj kuwekeza sana ktk soka la maana kama city anavyofanya bila hivyo tutaumia sna
Hahahahahah hongera katimize ahadi.Hahahaaaa, nina furaha leo dada angu acha tu!
Kuna workmates wenzangu kama watatu niliwaahidi jersey za Madrid kama watamfunga liva, kesho natakiwa nitimize ahadi yangu.
Fainali sio bahati, ni mbinu,
Madrid alivokua kaanza slow aliwapa matumaini liva wakati huo liva alikua anataka kumaliza game mapema.
Mkubwa ni mkubwa tu[emoji23][emoji23]
Mkuu naomba tujadili kesho, saizi hatutoelewana, furaha niliyonayo saizi wakati we umeumia (kama ni shabiki wa livapul) tunaweza tofautiana.Madrid katumia mbinu gani!? Tuanzie hapo..
Mkuu naomba tujadili kesho, saizi hatutoelewana, furaha niliyonayo saizi wakati we umeumia (kama ni shabiki wa livapul) tunaweza tofautiana.
Kesho nitakutafuta humu humu jukwaani