Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,156
- 14,118
spurs kamaliza juu ya asenali kwa mara ya kwanza mwaka jana tangu iitwe premier league 1992...je spurs kakaa juu ya liva mara ngapi tokea mwaka huo?...ukipata jibu ndo utajua unafikiria kwa kutumia kipapatio..Malengo ya Arsenal huwa yanaishia wapi sasa?
Maana huwa inafika hatua mnagombea top four tu, na sasa Spurs anajua kuwaotea kwa kuwaweka chini yake tu. Basi hapo maumivu yanazidi mara zote.
Kamuulize ac milan atakwambiakisa we umechukua kpndi mabao yanafungiwa mkono...
save of th season for this young lad...akiedelea hivi basi msimu ujao hatuhitaji kipa mpya...since 2018 jan ndogo ameongeza kipaji na kujituma Migo atasubiri sanaKarius katuokoa sana.
mwishoni mwa msimu malengo yanabadilika kwa sasa ni nafasi ya pili au 3...mwanzoni mwa msimu kila timu kubwa inakuwa na malengo ya ubingwa kasoro nyie..
The Goners ni washiriki wa hayo mashindano hua sio washindani maana miaka yote wao kuchukua hawachukui...Nachukua UCL na itakuwa mara ya 6 kulichukua!
Arsenal hajawahi chukua UCL wala Yuropa
spurs kamaliza juu ya asenali kwa mara ya kwanza mwaka jana tangu iitwe premier league 1992...je spurs kakaa juu ya liva mara ngapi tokea mwaka huo?...ukipata jibu ndo utajua unafikiria kwa kutumia kipapatio..
Mwenyewe nilifika fainali..Kamuulize ac milan atakwambia
ukweli umekuingia unaamua kubadili mada...Record yenu UCL inapendeza sana
ukweli umekuingia unaamua kubadili mada...Record yenu UCL inapendeza sana
mchumba wa sevilla...The Goners ni washiriki wa hayo mashindano hua sio washindani maana miaka yote wao kuchukua hawachukui...
Mi nimechukua kabisa sio kufika fainali, na wewe chukua kama una ubavu huoMwenyewe nilifika fainali..
Ona anachofanya man u kwa cty kule, sio nyie kila mkitia tako mnakula tatuukweli umekuingia unaamua kubadili mada...
ukweli umekuingia unaamua kubadili mada...
mlibebwa 2005Mi nimechukua kabisa sio kufika fainali, na wewe chukua kama una ubavu huo
ngoj upeleke ngoko zako huko zitakavyofanywa...Ona anachofanya man u kwa cty kule, sio nyie kila mkitia tako mnakula tatu
Mkuu unajiaibisha ujue bora ukae kimyamlibebwa 2005
Harusi na sevilla ln hiyo..Arsenal = 19 straight years in UCL
ZERO UCL crown
unajiaibisha mwnyw na ukame wa makombe...Mkuu unajiaibisha ujue bora ukae kimya